GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Akizungumza muda si mrefu katika Kipindi cha DADAZ Kinachorushwa na EAtv Kipengele cha MTU KATI Daktari Romana Malikusema ametoa Kali na ambayo nadhani sasa itatufanya Wanaume wengi tuanze Kuangaliana mara mbili mbali baada ya kusema kwamba Wanaume wengi wanaougua Ugonjwa wa UTI huwa ama wanakuwa wanapenda Kuwaingilia wenzao Kinyume na Maumbile au Wao wenyewe pia huwa Wanaingiliwa huko Mafichoni / Nyuma na Wanaume Wenzao.
Kwa wiki iliyopita kuna ‘ Washkaji ‘ zangu wawili walikuwa wanasema wametoka Hospitali na wamegundulika kuwa na UTI hivyo kama nikisema niamini huu ‘ Utaalam ‘ wa Daktari Malikusema ina maana kumbe sina Washkaji / Marafiki Marijali na Wema kabisa nap engine ni wakati muafaka sasa kuangalia uwezekano wa Mimi Kusitisha Urafiki wangu nao.
Namshukuru Mwenyezi Mungu kuwa hadi Umri wangu huu sijawahi Kuugua Ugonjwa huo wa UTI. Haya Dada zetu muanze sasa Kuwaangalia kwa Jicho la Tatu Waume na Wapenzi wenu hasa pale wakiwa wanawaambia kuwa wana tatizo la UTI kwani tayari Daktari Romana Malikusema ameshamaliza Kila Kitu.
Kumekucha!
Nawasilisha.
Kwa wiki iliyopita kuna ‘ Washkaji ‘ zangu wawili walikuwa wanasema wametoka Hospitali na wamegundulika kuwa na UTI hivyo kama nikisema niamini huu ‘ Utaalam ‘ wa Daktari Malikusema ina maana kumbe sina Washkaji / Marafiki Marijali na Wema kabisa nap engine ni wakati muafaka sasa kuangalia uwezekano wa Mimi Kusitisha Urafiki wangu nao.
Namshukuru Mwenyezi Mungu kuwa hadi Umri wangu huu sijawahi Kuugua Ugonjwa huo wa UTI. Haya Dada zetu muanze sasa Kuwaangalia kwa Jicho la Tatu Waume na Wapenzi wenu hasa pale wakiwa wanawaambia kuwa wana tatizo la UTI kwani tayari Daktari Romana Malikusema ameshamaliza Kila Kitu.
Kumekucha!
Nawasilisha.