Aman Ng'oma
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 961
- 533
Ni tarehe 20/09/2014 ndani ya Landmark Hotel, ni semina ya aina yake kuwahi kufanyika. Nitakuwemo katika wale watakao toa mada siku hiyo. Ni fursa pekee kwa wafugaji na wanaohitaji kuanza kufuga nk. Karibu tukutane tuonyeshane utajiri uliojificha katika ufugaji wa kuku, hakuna haja ya kulalamika. Anza sasa kufuga kuku unufaike Kiuchumi.
Ni semina ya aina yake kwasababu mambo mengi yatahusika siku hiyo kama ambavyo yamebainishwa kwenye hilo tangazo hapo chini.
Tutakuwa na watu wa mabank ambao bank zao zinatoa mikopo kwa wafugaji, tutakuwa na mameneja wa Hotels mbalimbali, supermarkets pamoja na wamiliki wa bars kubwa, hawa ni wanunuzi wa mazao ya kuku.Tutakuwa pia na wazalishaji wa vifaranga, watengenezaji wa vyakula vya kuu, Pia kutakuwa na maonyesho siku hiyo. Mada mbalimbali zitatolewa siku hiyo na wataalam waliobobea katika tasnia ya kuku
Kwa hakika Siyo siku ya kukosa. Karibuni nyote.
Ni semina ya aina yake kwasababu mambo mengi yatahusika siku hiyo kama ambavyo yamebainishwa kwenye hilo tangazo hapo chini.
Tutakuwa na watu wa mabank ambao bank zao zinatoa mikopo kwa wafugaji, tutakuwa na mameneja wa Hotels mbalimbali, supermarkets pamoja na wamiliki wa bars kubwa, hawa ni wanunuzi wa mazao ya kuku.Tutakuwa pia na wazalishaji wa vifaranga, watengenezaji wa vyakula vya kuu, Pia kutakuwa na maonyesho siku hiyo. Mada mbalimbali zitatolewa siku hiyo na wataalam waliobobea katika tasnia ya kuku
Kwa hakika Siyo siku ya kukosa. Karibuni nyote.
