Kumekucha England!!

kimbendengu

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2013
Posts
6,716
Reaction score
12,116
Kocha wa timu ya Wartford bwana Javi Gracia amefukuzwa kazi baada ya kuiongozo timu hiyo kupata alama moja kwenye ligi kuu ya England ,maarufu EPL hata hivyo uongozi wa klabu hiyo imemtangaza ndugu Sanchez Flores kuwa kocha mkuu wa timu hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…