kimbendengu JF-Expert Member Joined Jun 7, 2013 Posts 6,716 Reaction score 12,116 Sep 7, 2019 #1 Kocha wa timu ya Wartford bwana Javi Gracia amefukuzwa kazi baada ya kuiongozo timu hiyo kupata alama moja kwenye ligi kuu ya England ,maarufu EPL hata hivyo uongozi wa klabu hiyo imemtangaza ndugu Sanchez Flores kuwa kocha mkuu wa timu hiyo
Kocha wa timu ya Wartford bwana Javi Gracia amefukuzwa kazi baada ya kuiongozo timu hiyo kupata alama moja kwenye ligi kuu ya England ,maarufu EPL hata hivyo uongozi wa klabu hiyo imemtangaza ndugu Sanchez Flores kuwa kocha mkuu wa timu hiyo
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Joined Feb 4, 2009 Posts 76,107 Reaction score 160,001 Sep 7, 2019 #2 Managers are hired to be fired
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Sep 7, 2019 #3 Hatari sana... Cc: mahondaw
Kinyonyoke JF-Expert Member Joined Oct 4, 2016 Posts 3,498 Reaction score 13,138 Sep 7, 2019 #4 Lampard Solskjaer nao wamekalia kuti kavu
gm man JF-Expert Member Joined Nov 26, 2017 Posts 1,177 Reaction score 1,455 Sep 7, 2019 #5 Kamwene said: Lampard Solskjaer nao wamekalia kuti kavu Click to expand... Lampard????? OGS nna hofu nae
Kamwene said: Lampard Solskjaer nao wamekalia kuti kavu Click to expand... Lampard????? OGS nna hofu nae
Tychob JF-Expert Member Joined Apr 29, 2013 Posts 3,972 Reaction score 5,170 Sep 7, 2019 #6 OGS yupo saana
mwisho2016 JF-Expert Member Joined Jun 27, 2016 Posts 724 Reaction score 625 Sep 8, 2019 #7 Ogs haondolewi pale