Kumekucha jamani.....niseme nisiseme?

Atii dk Shika kalipa lile bulungutu na sasa ndiye mmiliki wa zile nyimba 3 za Lungumi. Unajua katoa kiasi gani?? Shs 900 za kitanzania. Acha usiseme tena, tushakusemea
 
Bahati nzuri huyo aliyeuanzisha huo uzi tayari ameshakula BAN / Umeme. Mpeni pole sana huko aliko mapumzikoni na mwambieni GENTAMYCINE naendelea zangu tu kutiririka na kuserereka na Mtandao wangu pendwa wa JamiiForums kwa raha zote.
Bado hatujakuelewa ndugu
 
Haya sasa wote mpo tayari Mwanamume nifunguke sasa hivi? Naomba kila Member wa JF popote alipo sasa kama anaijua ID ya Rafiki yake au Mtu yoyote amuamshe haraka kwani nataka nikikiandika hapa hicho kitu kila mmoja akipate usiku huu huu. Ni kitu ambacho Kitatikisa na yawezekana hata wana Mtandao wa JF nanyi mkashangaa na kushindwa kuamini macho na masikio yenu. Amshaneni upesi na hakikisheni wote mkiwa tayari mnaniambia. Nawapeni dakika 45 tu kutoka sasa nyote muwe mmeamka na ikifika Saa 6 Kamili usiku huu naweka mambo hadharani.
 
acha mbwembwee,achia info
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…