Aiseeeee unazidi kunivuruga sasaColabo ya combination View attachment 376710
Hahaha colabo ya combinationColabo ya combination View attachment 376710
Nawe pia refa lakini sio wa kimataifaYanga team ya marefa
Wa kimataifa wana point zero kwenye league ya Kimataifa
Vipi mbona hazungumzii mchezo Na Ghana?
Pale labda wakimataifa kwa muunganiko wa wachezaji .sio team ya ushindani haaa ila nyie ndara MNA otaga vituvya ajabu eti mahesabu basis yule special one angekua bingwa kila mwakaNawe pia refa lakini sio wa kimataifa
Vipi mbona hazungumzii mchezo Na Ghana?