Kumekucha: Mganga wao kasema kwakuwa safari hii wameshindwa kutoa Kafara kama kawaida yao, Kesho Wanakufa kwani Wenzao wamemaliza Shughuli

Kumekucha: Mganga wao kasema kwakuwa safari hii wameshindwa kutoa Kafara kama kawaida yao, Kesho Wanakufa kwani Wenzao wamemaliza Shughuli

Na pia kuna Sharti moja Muhimu sana leo Limekiukwa pale katika Press yao na Wakagombana katika Gari. Kudadadeki.
Screenshot_20240807-185351.png


Unazungumzia thimba?
 
Tuendelee kuishukuru Serikali kwa kujenga Hospitali ya Vichaa pale Dom.
Ili ikawatibu WENDAWAZIMU, WAPUMBAVU na WAPIGA MILUZI / WABINUA MICHANGA ambao Kutwa wanajua WANAMCHUKIA na HAWAMPENDI GENTAMYCINE hapa JamiiForums lakini bado tu hawaachi Kumfuatilia kwa kila Kitu. Kudadadeki.
 
Back
Top Bottom