Elections 2010 Kumekucha Nzega! Selelii azomewa mwanzo mwisho!


By definition, mkutano ni mkusanyiko wa watu wengi. Sasa wanakwepa mikusanyiko mikubwa ya watu ili iweje? Hapa kuna doubts za kutosha kuhusu hizi taarifa unazozitoa.

Tamko kama hilo sidhani kama ni sahihi. Lengo la mikutano hiyo ni kumwaga sera kwa wapiga kura, sasa ukipeleka mkutano huo nje ya makazi/kitongoji unakwenda kuhutubia miti? Sometimes unapopika stori tumia basi akili kidogo maana siyo kila mtu atakubaliana na stori ambayo inaonekana ina elements za uongo/uzushi.
 
kazi unayo diwani! hivi bashe ana wake wangapi vile? naomba unijibu maana umesema mwenye swali akuulize. jitahidi maana huyo mwislamu bwana anaruhusiwa kuongeza. nadhani wakubwa mmenielewa
 
Hii mitu bana kutukana inapenda lakini utashangaa KIBONDE anakuwa Mbunge wa Kawe.Hivi watu wanafikiri wanaowaita Mafisadi watatoka kwa kupigiwa kelele..Go go Bashe
 
Kwa mujibu wa taarifa kutoka Nzega ni kweli kuwa Seleli alifanyiwa vurugu wakati wa mikutano kule kata ya Puge. Naambiwa Bashe alikodisha/amekodisha wahuni kwa ajili ya kufanya hizi vurugu na kile kinachoitwa ''kusukuma gari lake''. Mbaya zaidi Mwenyekiti na Katibu wa CCM wilaya wamelifumbia macho hili sababu inasemekana wako kwenye kambi ya Bashe. Sidhani kama hili litamsaidia badala yake litampa publicity mbaya!
 
Huyu Bashe si ni pandikizi la fisadi Rostum? Vipi watu wa Nzega wasilijue hili?

Hiyo pia inaweza ikawa ni sababu ya wao kumchagua, hii nchi kaazi kwelikweli.
 
Mpambe wa Bashe huyooo
Acheni unazi na tuchambue hoja. Haisaidii kumbandika jina hii ni JF.
Ukweli wa mambo ndiyo huo na mkitaka kujua zaidi tafuteni walioko jimboni wakupeni hali halisi.
Utashi wetu siyo lazima uwe utashi wa wananchi na kwa bahati nzuri hata wazee walitufundisha kwa methali kuwa 'wengi wape'
 
Selelii kuzomewa ni dalili kuwa wana Nzega wanapangiwa vipaa umbele vya maendeleo yao na watu wengine. Unapozomea mwanzo mpaka mwisho au ukashangilia mwanzo mpaka mwisho, yote ni makelele tu. Wale wanaolipwa kupiga kelele kwa kushangilia au kuzomea hawaitakii mema nchi yetu. Haiwezekani KELELE ikawa ndiyo kipaaumbele maendeleo cha wananchi wa jimbo la Nzega
 
ccm imejaa wapumbavu sana.sasa huyu seleli asulubiwe kwa ile aliwakosoa mafisadi sio?
 

Na kweli alisulubiwa... sasa sijui na yeye atafufuka kutoka wafu??!!
 
Well inajulikana wazi kuwa Bashe ni pandikizi la Lowassa na RA. Vijana walitumwa huko miezi miwili iliyopita kununua kura za wanachama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…