Kumekucha! Wakenya wachoshwa na ugoigoi wa Uhuru Kenyatta, waamua kumpa za uso

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617
Hali hii wenye akili tuliiona zamani sana kwamba itafika wakati Wakenya watachoka na kuingia barabarani kama ilivyo Sudan, sikiliza maneno ya Wakenya na uangalie "body language" kisha malizia na kusema "comments za Wakenya". Kenyans, please keep tribalism aside. Wake up!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…