Kumekucha: Wakili msomi Peter Kibatala na Tundu Lissu kumtetea Ney wa Mitego mahakamani

Kosa kuikashfu serikali period... Hakuna kuwekewa dhamana
Haya kiko wapi saivi, mmeshushuka vibaya [emoji3] [emoji3] warumiiii uwe unahifadhi maneno ona sasa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wahuni tu kutafuta kick, vitu vya maslah kwa wengi huwaoni ila issue za akina wema sepegu utawaona! Lisu sio wa kujifanya anajua kutetea wanyonge ilihal vijana wanagongwa 18% loan bodi huko, angekuwa mkweli angeonekana bt ni wauza sura

Vp tukianza na wewe, umechukua hatua gani wewe kama wewe na kumbuka anayekatwa ni wewe, au unasubiri mimi nije kukutetea wakati sioni faida yako kwangu, kumbuka alichoimba Ney ni sawa kiasi na malalamiko ya TL,
Eti na wewe unakaa nakusubiri TL akutetee kwenye Loan Board, amka kijana kataa ubashite
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…