Kumekuchaaa hodi humu!

Kumekuchaaa hodi humu!

Baredo

Member
Joined
Aug 3, 2020
Posts
8
Reaction score
7
Mambo vipi! Naitwa Baredo,ni Mtanzania kwa kuzaliwa,kitaaluma ni Mhandisi Mitambo (Mechanical Engineer),umri wangu ni 30+ bado sijaoa.

Natumaini nitapata ushirikiano wenu ili niendelee kujifunza na kuhabarika kupitia jukwaa hili.

Asanteni
 
Nipo hapa reception lkn sijamuona bado
Yuko staff room anakungoja akupe salute ya mgeni siku ya kwanza mpe papa na kitumbua na sambusa Ndani ya kipochi unyoya.
Mgeni siku ya pili mpeleke ufukweni akajivinjari na kazi za pwani. Pwani Kuna kazi kubwa moja, kupara, Kuna kupara samaki na kupara-miwa
 
Bujibuji hahahaha! Umenichekesha sana.
Ok! Ngoja nionane nae lkn Pwani hatutoenda maana sijisikii vzr kwa leo
 
Back
Top Bottom