Kumekuwa na kesi tofauti juu ya kudukuliwa kwa mifumo ya matokeo vyuoni na kubadilishwa

Skorpa

New Member
Joined
Mar 29, 2023
Posts
1
Reaction score
1
Kumekuwa na kesi tofauti juu ya kudukuliwa kwa mifumo ya matokeo vyuoni na kubadilishwa. Kwa mfano alikuwa amefeli mwanafunzi ila mfumo unadukuliwa na kuandikiwa PASS.

Sasa naomba kujua hii huwa haiwaletei shida pale wanapo maliza masomo yao kwamba ikaonekana walifeli mwaka flani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…