Richard mtao
JF-Expert Member
- May 13, 2018
- 262
- 361
Hellow JF.
Kumekuwa na mfululizo wa matukio yanayoonesha mambo sio shwari CHADEMA.
Tukianza na kauli za makamu mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu aliwahi kusema CHADEMA kuna pesa chafu. Kwa bahati mbaya sana watanzania tunakasumba ya kupuuzia mambo na kuyachukulia poa poa mambo. Likaeenda ilo likanyamazishwa.
Ikaja ishu ya msigwa kulalamikia uchaguzi wao akiwatuhumu viongozi wa juu, pia alisisitiza chadema haina demokrasia tena, uhuni umekuwa mwingi, vitu vinafanywa kwa matakwa ya mtu fulani.
Sasa habari ya leo imenifanya niamini kwamba chadema kuna shida kubwa. Taarifa ya kujiuzulu katibu Mkuu wa chama hicho kwa madai kwamba hapati ushirikiano na asikilizwo na viongozi wenzio.
Hii ni ishara tosha kabisa kwamba, chadema ipo katika wakati mgumu sana. Au nyie wana jamvi mnasemaje?
Soma Pia: Je, Msajili wa Siasa ataichunguza Chadema dhidi ya madai ya Mtu mmoja Kufanya Maamuzi yote ya Chama?
Kumekuwa na mfululizo wa matukio yanayoonesha mambo sio shwari CHADEMA.
Tukianza na kauli za makamu mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu aliwahi kusema CHADEMA kuna pesa chafu. Kwa bahati mbaya sana watanzania tunakasumba ya kupuuzia mambo na kuyachukulia poa poa mambo. Likaeenda ilo likanyamazishwa.
Ikaja ishu ya msigwa kulalamikia uchaguzi wao akiwatuhumu viongozi wa juu, pia alisisitiza chadema haina demokrasia tena, uhuni umekuwa mwingi, vitu vinafanywa kwa matakwa ya mtu fulani.
Sasa habari ya leo imenifanya niamini kwamba chadema kuna shida kubwa. Taarifa ya kujiuzulu katibu Mkuu wa chama hicho kwa madai kwamba hapati ushirikiano na asikilizwo na viongozi wenzio.
Hii ni ishara tosha kabisa kwamba, chadema ipo katika wakati mgumu sana. Au nyie wana jamvi mnasemaje?
Soma Pia: Je, Msajili wa Siasa ataichunguza Chadema dhidi ya madai ya Mtu mmoja Kufanya Maamuzi yote ya Chama?