Kumekuwa na ucheleweshwaji wa kuajiri walimu tangu kutoka kwa kibali cha ajira Mwaka 2024 hadi leo 2025

Kumekuwa na ucheleweshwaji wa kuajiri walimu tangu kutoka kwa kibali cha ajira Mwaka 2024 hadi leo 2025

1Afica54

Senior Member
Joined
Feb 15, 2025
Posts
115
Reaction score
68
Habari wana JAMIIFORUMS

Kumekua na ucheleweshwaji wa kuajiri walimu tangu kutoka kwa kibali Cha ajira za walimu 2024 Hadi Leo 2025 mchakato umekua mrefu sana, pia kipindi usaili ukiwa unaendelea PSRS wameita baadhi ya walimu wa masomo ya physics, mathematics and English lakini kumekua na kirudiwa kwa majina yaani kuchanganywa majina kwenye pdf tofauti kwa siku tofauti

Pia mfumo wa kutoa pdf kila siku kwa mafungu mafungu sio mzuri sana sababu ni usubufu ili kuepusha adha hii PSRS waonyeshe kwenye account za ajira portal kua umechaguliwa kuliko kutafuta jina kwenye kila pdf

Pia tunaomba serikali yetu ya Tanzania kuongeza masilahi kwa walimu pamoja na kutoa fedha za kujikimu kwa wakati inatia aibu sana mwalimu unaajiriwa unapewa godoro la mwanafunzi na unakula chakula Cha wanafunzi haipendezi
 
Tanzania ndio nchi pekee ccm ukiweza kutumikia kama mafwere unapewa vyeo.
 
MIMI LAI YANGU KWA UTUMISHI NI HII WALIMU WA MIAKA YA 2015 MPAKA 2020 WALIOFIKA ORAL ANGALAU WAKAWEZA KUPATA 50% YA MATOKEO WASIACHWE BILA AJIRA.
 
Naona mnataka kuishurutisha serikali, hatuendi hivyo ndugu zangu .. serikali ikiamua italeta walimu kutoka Rwanda waje wafundishe
 
Waalimu wanajiona kama vile wanaitawala hii nchi
 
Back
Top Bottom