Kumetokea nini kwenye Tennis?

successor

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2012
Posts
3,083
Reaction score
6,139
Wakuu, nimesikia juujuu habari za kupangwa kwa matokeo ya mechi Novac Djokovic. Mwenye taarifa kamili naomba anijuze tafadhali...
 
..yes,nimeona Andy Murray anadai uchunguzi ufanyike.
 
Ni game fixing tu. Mwenyewe djonkovic anadai aliwahi kutamanishwa £110k ili wapange matokeo. Kwa kifupi game fixing c kwenye soka tu. Mpaka huku kwenye michezo mingine.
 
Ni game fixing tu. Mwenyewe djonkovic anadai aliwahi kutamanishwa £110k ili wapange matokeo. Kwa kifupi game fixing c kwenye soka tu. Mpaka huku kwenye michezo mingine.
Tatizo ni matajiri wacheza kamari ndo wanasababisha yote haya....watu wanabet mzigo wa maana na sio buku mbili mbili.
 
Wazungu wahuni sana, hawa ndio wanasababisha mikeka yetu inachanika kila siku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…