Tulivyokuwa tunasema kuwa nchi ipo vipande vipande watu hawakuelewa.Mungu wangu! Yaani Mkuu wa majeshi msukuma, Diwani naye naskia kanda ya ziwa, Siro kanda ya ziwa, Bashiru kanda ya ziwa,mawaziri kibao kanda ya ziwa,katibu wa Ikulu kanda ya ziwa,Polepole kanda ya ziwa..Mh kumbe palikuwa na shida kidogo!
Ooh! Hapo sawa, maana kuna jamaa alisema ni mtu wa ukerewe..Diwani sio kanda ya ziwa ni kaskazini
itakuwa kwasababu yupo highly against kuondolewa wamachinga, sasa kama Mwenyekiti wa kamati inayoshughulika na Tawala za mikoa na serikali za mitaa ikigomea mamlaka za SM, kuondoa wamachinga italeta msuguano kweli, na Polepole kwenye shule yake ya uongozi amejiapiza kupanda nalo bungeni na moto uwake.Kuna taarifa kwamba Spika wa bunge la Tanzania Job Ndugai amefanya mabadiliko kwenye kamati za kudumu za bunge , na kumhamisha Mh Mbunge Humphrey Polepole kutoka kamati ya awali ya Utawala na serikali za mitaa na kupelekwa Kamati ya Sheria ndogo .
Swali ni hili , Mabadiliko haya yamelenga nini ?
Ila chakubanga alimpiga mkoloni🏃Pole chakubanga
uitakuwa kwasababu yupo highly against kuondolewa wamachinga, sasa kama Mwenyekiti wa kamati inayoshughulika na Tawala za mikoa na serikali za mitaa ikigomea mamlaka za SM, kuondoa wamachinga italeta msuguano kweli, na Polepole kwenye shule yake ya uongozi amejiapiza kupanda nalo bungeni na moto uwake.
Sasa huyu atajipigaje maana yeye mwenyewe mkolon mweus na ni mwanachama wa chama cha kikolonIla chakubanga alimpiga mkoloni🏃
Ccm wakoloni ni wengi sasa fafanuaIla chakubanga alimpiga mkoloni[emoji125]
Hiyo ndiyo tunaita MUGAMBO WANARUKA NA KUKANYAGANASasa huyu atajipigaje maana yeye mwenyewe mkolon mweus na ni mwanachama wa chama cha kikolon
iHiyo ndiyo tunaita MUGAMBO WANARUKA NA KUKANYAGANA
Umeonaeee?[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mzee wa viiiiii eitiiiiii
Ila Sasa kibano kimemgeuka Chakubanga, anapigwa yeye[emoji38]
Sasa ni WA bolt, Uber, bajaj , boda,nikiwa vizuri tax bubu🏃.Maisha yanaenda race na bahati mbaya mara zote sii rafiki kiviile.Umeonaeee?[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mzee wa viiiiii eitiiiii
Sipati picha maana kama alikuwa vile akiwa na kipato cha kufuru.Sasa ni WA bolt, Uber, bajaj , boda,nikiwa vizuri tax bubu[emoji125].Maisha yanaenda race na bahati mbaya mara zote sii rafiki kiviile.
Hapo alipo anajilaumu alitokaje kwenye uanaharakati wa utetezi wa wanyonge wa kweli na kuanza kuwatetea mabepari, majizi na mafisadi na Leo kageukwa.Sipati picha maana kama alikuwa vile akiwa na kipato cha kufuru.
Leo hii tia maji tia maji sijui ataonekan vipi
Aliingia kichwa kichwa kwa ushawishi wa kaka yake.Hapo alipo anajilaumu alitokaje kwenye uanaharakati wa utetezi wa wanyonge wa kweli na kuanza kuwatetea mabepari, majizi na mafisadi na Leo kageukwa.
Hapa atajua hajui🏃Aliingia kichwa kichwa kwa ushawishi wa kaka yake.
Hakuijua chama cha mbogamboga kilivyo na majungu
Umenena ukweli, huyo Zombie Polepole ana wazimuAmeanza kupinga chanjo ya malaria lakini hajawahi kusikika kupinga matumizi ya ARV na kushauri watu watumie tiba asili.
MgonjwaUmenena ukweli, huyo Zombie Polepole ana wazimu
Kiongozi wako msimamizi wa manunuzi ushamgeuka ?Umenena ukweli, huyo Zombie Polepole ana wazimu
Sio kejeli,ndio uhalisia wabunge wengi hawapo vizuri kwnye suala la uongozi na sheria ,hivyo spika amemuona ni MTU sahihiMbona kama kejeli