Unamiliki tu, sema ukitaka ufuate sheria za makaratasi kazi kwakoMtanzania wa Bara, unaruhusiwa kumiliki Aridhi Zaznibar. Kwa anaejua anifahamishe.
hapo sasaHiyo ardhi yenyewe ipo?
Mm mkuu najichanga mwakani nikanunue fuoni. Kuzuri sanaMtanzania wa Bara, unaruhusiwa kumiliki Aridhi Zaznibar. Kwa anaejua anifahamishe.
unamiliki kabisa si unanunuaMuhimu kufata sheria ili uweze kumilikishwq