Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Mnaiifanya nyie matajiri mna hela, mkimtaka mtu hamumkosi kumbe usanii mtupu, hvi tuwe wa kweli Fei Toto alipwe mshahara wa m 4 kwa mwezi halafu Morrison alambe M 19, Aziz Ki alambe 22, Mayele alambe 16, Aucho alambe 6, Fei Toto alipwe M 4, kweli jamani.Tuwe wa kweli nyie wafu wa Yanga mnaona saaa hii, acheni dhuluma jaman.
Mafanikio yenu mnayotamba nayo Leo Fei Toto ana mchango asilimia 90, Leo mnamlipa m 4, sasa wanaojua thamani yake wanataka kumpa 16 kwa mwezi nyie mnabana, huu uhujumu uchumi na mnatakiwa mkale gerezani sikukuu, shida yenu mnashauriwa na albino, bichwa kubwa akili sifuri.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Mafanikio yenu mnayotamba nayo Leo Fei Toto ana mchango asilimia 90, Leo mnamlipa m 4, sasa wanaojua thamani yake wanataka kumpa 16 kwa mwezi nyie mnabana, huu uhujumu uchumi na mnatakiwa mkale gerezani sikukuu, shida yenu mnashauriwa na albino, bichwa kubwa akili sifuri.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app