hmm kummiss X aisee hili halijawahi nipata nahisi sababu sijakosea hata nukta kwa yule nilienae sasa...inawezekana bado unampenda yulee,huyu ulienae hajafikia au anamapungufu kwa vile wewe uvipendavyo :spy:
we kua mbishi...ukishatupa kule unatambaaa unamiss miss kitu gani wewe...!
ukauzu tu hapo tena usidelete namba wala kufuta picha zake na fb ucmblock, ukifanya hvyo utakua na uhuruna ubish wa ukweli.
hiyo huwa inatokea sana, na ukiona hivyo ujue kuna ulilobakiza huko. mpenzi huwa ni mchanganyiko wa mambo mengi yawezekana mlikosana kwenye jambo moja lakini mengine alikuwa ana faa sasa ukilinganisha na kumkosa au na huyo uliyenaye sasa ndio unajua thamani yake baada ya kumpoteza, hujachelewa 'Baby Come Back' inaweza ikafanyakazi ukampata tena
Huwa inatokea, mara nyingi kama mahusiano yenu yalivunjika kutokana na external forces, i mean shinikizo toka nje na siyo nyinyi wenyewe! Pia hutokea sometimes kama pale ulipoangukia kwa sasa, hapajukupa treatment zinazofikia kule alikokuwa ....
Cha msingi jiamini na pia amini na kuheshimu maamuzi yako.