umepatwa na ugonjwa wa SITAKI NATAKA. Ugonjwa huu husababishwa na maamuzi ya haraka bila kufikiria kama uko tayari kuachana na mpenzi wako hali inayopelekea kumuacha wakati bado unampenda na kumhitaji. Dawa yake ni kula matapishi yako, yaani umrudie la sivyo endelea kum-miss!