Kumpa sifa nyingi mno Nkane ni mapema mno, mtamharibia

Kumpa sifa nyingi mno Nkane ni mapema mno, mtamharibia

Tatzo lenu mmeanza kumuona Nkane juzi akicheza na Singida... Mnadhan Yanga walimnunua Nkane kutoka biashara utd kwa bahat mbaya..? Hamjiulizi kwanini Yanga wamekaa na Nkane kipindi chote hicho bila kumuuza hata kwa mkopo..? Shida yenu mnaangalia mpira mkiwa sebuleni na madada wa kazi...
By the way juzi Nkane hajaonyesha kiwango chake, ngojeni mtamuimba sana msimu huu... Nilikuwa nawashangaa watu walivyoshangaa kumuona Nkane ktk kikosi cha kwanza...
 
Nkane ni bonge la mchezaji ana control nzuri,ana speed anajua kukokota mpira na kupiga chenga na hii sio Yanga tu toka akiwa biashara ndio maana kipindi Yanga wanamsajili Anko Ngasa alitaka wampe jezi yenye namba aliokua anavaa yeye kwasababu aliona ubora uliopo ndani ya dogo.
 
Sasa kama dube hafungi magoli sisi utopopo tutamuimba nani zaidi ya nkane? Nkane tupo naye na tunatamba naye dube aende malimao fc.
 
Tatzo lenu mmeanza kumuona Nkane juzi akicheza na Singida... Mnadhan Yanga walimnunua Nkane kutoka biashara utd kwa bahat mbaya..? Hamjiulizi kwanini Yanga wamekaa na Nkane kipindi chote hicho bila kumuuza hata kwa mkopo..? Shida yenu mnaangalia mpira mkiwa sebuleni na madada wa kazi...
By the way juzi Nkane hajaonyesha kiwango chake, ngojeni mtamuimba sana msimu huu... Nilikuwa nawashangaa watu walivyoshangaa kumuona Nkane ktk kikosi cha kwanza...
Si amesajiliwa acheze kama hivyo alivyocheza na analipwa ili acheze vizuri cha ajabu ni kipi hadi kiongozi wa timu amsifie mchezaji aliyetimiza kazi yake alivyoomba kuifanya?
 
Dennis nkane he is talented he just need people kumwambia unaweza umeongea kichuki sana
Hiyo sio kweli ni uzushi. Nkane ana miaka 21 sasa, anaweza kucheza mpira ndiyo maana alisajiliwa Yanga, anatakiwa acheze mpira badala ya kusubiri kuambiwa kuwa anaweza ndiyo acheze. Wachezaji wangapi hawakusajiliwa na Yanga? Hakuna kocha mwenye akili ataacha kumchezesha mchezaji mzuri ili apate matokeo mazuri. Mpaka Gamondi amepanga inamaana kuwa sasa anaweza kucheza mpira kwa jicho la kimpira. Wewe kiongozi hupaswi kwenda kumteua mchezaji mmoja wa kumsifu sana wakati una wachezaji 27 kwenye kikosi, hiyo ya kusifu wachezaji mmojammoja waachie mashabiki na kocha mwenyewe aseme wakati wa kupanga kikosi chake dhidi ya mechi husika.

Ukiwa kiongozi wa timu lazima utenganishe uongozi na ushabiki wako wa timu, wachambuzi wakimsifu sana mchezaji wanamvimbisha kichwa na kumtafutia maadui wa kumkamia. Kizuri kitajiuza chenyewe.
 
Naunga mkono hoja watajijua wenyewe na hicho kimchezaji chao kifupi kama fridge ya aborder sisi "SIMBA" tunamsubiria mashujaa tumkande.
Half-time 0-0, Kuna nini hapo cha ajabu
 
Kama wakichomesha huwa wanakosolewa kupitiliza naamini hata wakipatia inabidi iwe kinyume chake.
 
Back
Top Bottom