Kumpenda nampenda ila mimi ni aina ya mtu nisiyependa kuongea kwa simu

Kumpenda nampenda ila mimi ni aina ya mtu nisiyependa kuongea kwa simu

Vhagar

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2015
Posts
20,550
Reaction score
39,949
Tuko mbali mikoa tofauti, hapa kisanga ndipo kinakuja. Anapenda kupiga piga simu mara kwa mara, sasa mara nyingi najikuta namkatiza ilee.. "Samahani ngoja nitakupigia baadae kidogo".

Kiukweli muda huo unakuta shughuli imenitinga na ukizingatia aina ya shughuli zangu haziruhusu sana kuongea kwa simu muda mrefu la si hivyo zitayumba. Sasa na anakupigia unakuta cha maana cha kuongea hana, ukimdodosa ni kwamba labda anapenda tu kusikia sauti yako.😂

Ukirudi usiku umechoka unataka uoge upumzike, ukipiga simu ni muongee zaidi ya dakika 40+, wengine mnawezaje? Nahofia kuja kumkwaza.

Hili swala hata ndugu zangu walishanizoea, mimi huwa nikipiga simu nina jambo la msingi la kuzungumza. Napendelea zaidi text kuliko kupiga simu. OMG sijui ni huu usukuma wangu. Sasa na haya mahusiano ya mbalimbali tutafika kweli?🚶🏿
 
LDRs are not relationships.
I’m sorry to break this to you, but there is no such thing as a long distance relationship (LDR).
That’s correct, you have no relationship. An LDR simply does not meet the criteria
necessary for it to be considered a legitimate relationship. There is no reciprocity of
anything more than words passing over a phone line or an instant message text.
Understand me here – you have no relationship. You have self-assumed accountability, self-assumed
liability and internalized responsibilities to be loyal to this person, this
idealization, in your head. You are entertaining a commitment to fidelity with an idealization, and
ignoring what everyone outside of your LDR will regularly tell you is insanity.
LDRs are one of the more insidious forms of ONEitis.
LDRs are the most easily identifiable form of ONEitis, and it would be laughable if it weren’t so
damaging to a guy’s life maturation. The LDR man generally sacrifices years of his life in this pitiable
effort to pursue his ‘soulmate’ across the planet or even a
hundred miles away.

Ukisoma Rational Male jamaa alishaongea wazi kuhusu long distance relationship,sasa we endelea kukaza kichwa mkuu [emoji1]
 
LDRs are not relationships.
I’m sorry to break this to you, but there is no such thing as a long distance relationship (LDR).
That’s correct, you have no relationship. An LDR simply does not meet the criteria
necessary for it to be considered a legitimate relationship. There is no reciprocity of
anything more than words passing over a phone line or an instant message text.
Understand me here – you have no relationship. You have self-assumed accountability, self-assumed
liability and internalized responsibilities to be loyal to this person, this
idealization, in your head. You are entertaining a commitment to fidelity with an idealization, and
ignoring what everyone outside of your LDR will regularly tell you is insanity.
LDRs are one of the more insidious forms of ONEitis.
LDRs are the most easily identifiable form of ONEitis, and it would be laughable if it weren’t so
damaging to a guy’s life maturation. The LDR man generally sacrifices years of his life in this pitiable
effort to pursue his ‘soulmate’ across the planet or even a
hundred miles away.

Ukisoma Rational Male jamaa alishaongea wazi kuhusu long distance relationship,sasa we endelea kukaza kichwa mkuu [emoji1]
Kitabu kinaitwaje icho bro?
 
Mzee usifananishe mpenzi na ndugu au rafiki zako was kawaida eti mpaka upate kitu cha msingi utakaa mwaka mzima bila kuongea na huyo mpenzi wako kwani ukiwanae karibu kila mukikutanaga munakuwaga na kitu gani Cha maana Cha kuongelea.
 
Nilisikia at wao hupenda kwa masikilizio anyway get read for anything
 
Hapo ni kwamba mizani ya upendo haija balance iki balance mbona utaongea bila kupenda
 
Tuko mbali mikoa tofauti, hapa kisanga ndipo kinakuja. Anapenda kupiga piga simu mara kwa mara, sasa mara nyingi najikuta namkatiza ilee.. "Samahani ngoja nitakupigia baadae kidogo".

Kiukweli muda huo unakuta shughuli imenitinga na ukizingatia aina ya shughuli zangu haziruhusu sana kuongea kwa simu muda mrefu la si hivyo zitayumba. Sasa na anakupigia unakuta cha maana cha kuongea hana, ukimdodosa ni kwamba labda anapenda tu kusikia sauti yako.😂

Ukirudi usiku umechoka unataka uoge upumzike, ukipiga simu ni muongee zaidi ya dakika 40+, wengine mnawezaje? Nahofia kuja kumkwaza.

Hili swala hata ndugu zangu walishanizoea, mimi huwa nikipiga simu nina jambo la msingi la kuzungumza. Napendelea zaidi text kuliko kupiga simu. OMG sijui ni huu usukuma wangu. Sasa na haya mahusiano ya mbalimbali tutafika kweli?🚶🏿
We ndo msukuma masanja anaekusifia kila kukicha , anyway pole kwa msiba
 
Back
Top Bottom