Vhagar
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,550
- 39,949
Tuko mbali mikoa tofauti, hapa kisanga ndipo kinakuja. Anapenda kupiga piga simu mara kwa mara, sasa mara nyingi najikuta namkatiza ilee.. "Samahani ngoja nitakupigia baadae kidogo".
Kiukweli muda huo unakuta shughuli imenitinga na ukizingatia aina ya shughuli zangu haziruhusu sana kuongea kwa simu muda mrefu la si hivyo zitayumba. Sasa na anakupigia unakuta cha maana cha kuongea hana, ukimdodosa ni kwamba labda anapenda tu kusikia sauti yako.😂
Ukirudi usiku umechoka unataka uoge upumzike, ukipiga simu ni muongee zaidi ya dakika 40+, wengine mnawezaje? Nahofia kuja kumkwaza.
Hili swala hata ndugu zangu walishanizoea, mimi huwa nikipiga simu nina jambo la msingi la kuzungumza. Napendelea zaidi text kuliko kupiga simu. OMG sijui ni huu usukuma wangu. Sasa na haya mahusiano ya mbalimbali tutafika kweli?🚶🏿
Kiukweli muda huo unakuta shughuli imenitinga na ukizingatia aina ya shughuli zangu haziruhusu sana kuongea kwa simu muda mrefu la si hivyo zitayumba. Sasa na anakupigia unakuta cha maana cha kuongea hana, ukimdodosa ni kwamba labda anapenda tu kusikia sauti yako.😂
Ukirudi usiku umechoka unataka uoge upumzike, ukipiga simu ni muongee zaidi ya dakika 40+, wengine mnawezaje? Nahofia kuja kumkwaza.
Hili swala hata ndugu zangu walishanizoea, mimi huwa nikipiga simu nina jambo la msingi la kuzungumza. Napendelea zaidi text kuliko kupiga simu. OMG sijui ni huu usukuma wangu. Sasa na haya mahusiano ya mbalimbali tutafika kweli?🚶🏿