Elections 2010 Kumradhi: Bado niponipo



Kaka hope muhusika atakusamehe maana mimi nilikuwa napata wasiwasi na huu u Dr. wako labda nao ni wa KUTUNIKIWA kama viongozi fulanifulani!
 
Ndo utuuzima mkuu, I like umekuwa sincere, u still have morals which most lack
 


Isingekuwa busara zake za kuomba radhi, hii thread isingekuwepo hapa na wewe usingepata nafasi ya kuandika comments zako.Ikumbukwe kuwa yeye si wa kwanza ku mkwaza mtu humu JF.Tuondoe boriti kwenye macho yetu ndipo tutakapoweza kuona kibanzi ktk macho ya wenzetu.Upendo daima mbele kwa mustakabali bora wa familia yetu(JF).
 
Tumepata nafasi ya kuongea yote haya kwa sababu ya hekima na busara zake Dr.NU kujitokeza na kuomba radhi.Kwa kitendo hiki tu anastahili pongezi. Tunapo mpongeza mwenzetu na sisi tutathmini kauli zetu kwa kiasi gani zinaweza/zimeweza kuwa kwazo kwa wengine.Kwani humu JF kumejawa na malaika watakatifu wasio kwaza wenzao?Kwani Dr.NU kutumia lugha ya kukwaza ni wa kwanza humu JF?Je, ni wangapi tuliojitokeza kuombana misamaha kama alivyofanya Dr.NU?
Tutafakari.....Tuchukue hatua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…