Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,772
- 8,939
katika Thread ya CHADEMA kuchuka Kilombero, nimemtumkana Bado niponipo. Naomba Uniwie Radhi maana nilihamanika kwa Sababu toka jana kuna Members ambao kazi yao ni kuleta habari ambazo hata wenyewe wanajua ni za Uongo kitu ambacho kinaweza kupelekea kushusha hadhi ya Jamvi letu
Nachukua nafasi hii, mbele ya Hadhira hii Kumuomba radhi member bado nipo nipo na wengi wote niliowakwaza
Asante
Hadhi aipandi kwa kwa kutukana watu. Mtu mwenye hekima anaweza kujirekebisha kama approach yako ni nzuri. Ni ile hadithi ya Mzee ruksa, chizi akichukua nguo yako nawe ukamkimbiza barabarani ukiwa uchi basi watu watajua wewe ndiyo chizi. Kwamba ni premium member haiwezi kuwa chanzo cha jeuri ya kutukana watu hovyo hovyo! Nilifikiri ulinitukana kwa sababu out emotion nilileta habari isiyo kweli leo nilipoona unaendeleza nikajua wewe ni mtu wa aina gani hata kama umemwomba samahani