Kumradhi Rais Samia, kauli yako kuhusu watumishi wa umma wafujaji naona haipo sawa

Kumradhi Rais Samia, kauli yako kuhusu watumishi wa umma wafujaji naona haipo sawa

Mzalendo120

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2022
Posts
1,842
Reaction score
2,410
Wanajukwaa nawapungia mkono wa salam

Leo akipokea ripoti ya CAG iliyoibua madudu lukuki Rais Samia aliongea mengi lakini nimeona nigusie kauli moja ambayo inaonekana kuwapa mwanya wabadhirifu.

Amesema kila mwaka kuna madudu na wahusika wa ubadhirifu wanahamishwa tu ofisi.

Rais Samia ameendelea kushauri kwamba kama ikionekana wapigaji hao haifai kuwaondoa kazini basi wapelekwe maeneo ambayo hayana hela zaidi ili wakaipate joto ya jiwe.

Wahalifu hao ulitakiwa kutoa amri watangulie vituo vya polisi vilivyo karibu ili TAKUKURU wasisumbuke kuwasaka

Rais Samia kwakua unapita hapa jukwaani utàona maoni mbalimbali ya wadau lakini usicheke na kima utachekwa sana. Uzembe na wizi unatakiwa ukomae nao mpaka wahame nchi
 
For this sixth phase that is not possible...☝️
 
Rais ameonekana anajua mengi na anapenyezewa mengi na kiukweli anakerwa you can even see her facial expression shida ni 'Nani atamfunga paka kengere?' Dunia nzima Kuna System alafu kuna Rais, Kama System ikiwa wrong Rais hatakiwi kuwa Right and viceversa, it is very dangerous.
 
Rais ameonekana anajua mengi na anapenyezewa mengi na kiukweli anakerwa you can even see her facial expression shida ni 'Nani atamfunga paka kengere?' Dunia nzima Kuna System alafu kuna Rais, Kama System ikiwa wrong Rais hatakiwi kuwa Right and viceversa, it is very dangerous.
Alishasema hataki kufoka bali atatumia kalamu.

Ninadhani atatumia kalamu yake ipasavyo
 
Ripoti ipo wapi?
Tuweekeeni hapa Jamvini manake...
Tumekula mifupa kweli kweli wiko hii, nyama(CAG report kalas)
 
Wanajukwaa nawapungia mkono wa salam

Leo akipokea ripoti ya CAG iliyoibua madudu lukuki Rais Samia aliongea mengi lakini nimeona nigusie kauli moja ambayo inaonekana kuwapa mwanya wabadhirifu.

Amesema kila mwaka kuna madudu na wahusika wa ubadhirifu wanahamishwa tu ofisi.

Rais Samia ameendelea kushauri kwamba kama ikionekana wapigaji hao haifai kuwaondoa kazini basi wapelekwe maeneo ambayo hayana hela zaidi ili wakaipate joto ya jiwe.

Wahalifu hao ulitakiwa kutoa amri watangulie vituo vya polisi vilivyo karibu ili TAKUKURU wasisumbuke kuwasaka

Rais Samia kwakua unapita hapa jukwaani utàona maoni mbalimbali ya wadau lakini usicheke na kima utachekwa sana. Uzembe na wizi unatakiwa ukomae nao mpaka wahame nchi
Napata mashaka na uwezi wa rais wetu
 
Back
Top Bottom