Unga wa Kitarasa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 398
- 101
yaaap habari pipoz ebana me na ishu moko hivi inanizingua knoma ni huyu mpenzi wangu kila ninapo duuu naye huwa hata hapigi zile kelele lyk aaaa eeee iii oooo uuuu so afta gemu kuisha nikimuuliza amelizika anajibu ndiyo but me huwa naona ka huwa ananidanganya coz mpaka sasa sijui kugundua kama demu amelidhika au hajalidhika...ni hayo embu nisaidieni njia za kugundua kama mtt ameridhika...:yell:
Eheee una miaka mingapi?
yaaap habari pipoz ebana me na ishu moko hivi inanizingua knoma ni huyu mpenzi wangu kila ninapo duuu naye huwa hata hapigi zile kelele lyk aaaa eeee iii oooo uuuu so afta gemu kuisha nikimuuliza amelizika anajibu ndiyo but me huwa naona ka huwa ananidanganya coz mpaka sasa sijui kugundua kama demu amelidhika au hajalidhika...ni hayo embu nisaidieni njia za kugundua kama mtt ameridhika...:yell:
mmmmmh hilo nalo neno...eniweiz thanx sana......Kwani yeye kichaa apige kelele bila sababu?
Kama hamna cha kumpigisha kelele afanyeje?
tehe tehe tehe wa tz bhana unauliza swali badala ya kujibu naye anakuuliza swali aaaaaam hivi ushauri wako unategemea na umri wa mtu eeh..Eheee una miaka mingapi?
umetishaje trustme eebana eeeh em chukua tano kwanzammmh! we dogo wewe! bado kidogo utaibiwa nakwambia. Kwani wewe mtu akikuchekesha mara zote unacheke kwa kutoa sauti. Ila kuna siku kweli jamaa anakuchekesha unabachuka kwa sauti kubwa, basi ujue hapo umefurahishwa. Sasa wewe unataka apige kelele wakati hujampandisha mzuka? haiwezekani bana! anaweza kuridhika ila hajamfikisha anapostahili kupiga kelele, na nakueleza mwanamke akifika kileleni bana, lazima atoa sauti ( japokua zinatofautiana, wengine wanapiga mayowe, wengine kama ulivyosema, wengine wachozi, etc). sasa wewe kama unamuuliza halafu anakujibu kwa kutikisa kichwa ujue anakuonea aibu tu, siku wapigaji wakimkamata umetemwa dogo. Mtayarishe (angalau kwa dk 30) kabla ya kurukia mchezo ile umsogeze angalau afike kileleni na utasikia sauti. Najua unaelewa jinsi ya kumtayarisha, sio jongoo wako akidisa tu we umeshakimbilia mchezoni
thanx...exactly!!!
tehe tehe tehe umejuaje daaaah aiseee we ni mkare vp una undugu na yule jamaa aliyekufa ninjHawa ndo wale waliobahatika kupata laptop ukubwani kwa hiyo anatumia fursa ya media freedom ili aone Kama atajibiwa. Pole sana, ila ukitaka kujua namna ya kumfurahisha mwenzako, nenda jandoni.
Hawa ndo wale waliobahatika kupata laptop ukubwani kwa hiyo anatumia fursa ya media freedom ili aone Kama atajibiwa. Pole sana, ila ukitaka kujua namna ya kumfurahisha mwenzako, nenda jandoni.
kwa taarifa yako ukiona mtu analilia ujue anapotezea maji yasisikike