Kumsaidia mtoto home work✔

Kamesha fuzu hako, kapeleke field sasa (mafunzo kwa vitendo)

Ndio maana Wadau wanaipigia kelele Serikali, kuweka maabara katika shule za Sec...
 
Hahahahaaaaaaa hii imeniongezea siku!!
 
Hiyo hesabu ni ya mtu aliyekomaa ambaye yuko madarasa ya juu. Chekechea kila kitu kama sio picha ni kwa uhalisia, sio kwa kufikiria.
 
Hizo kusaidiwa home work na wazazi ni tatizo sana, najiuliza homework akikusaidia mshua alafu ukakosa zote sijui utamwangalia kwa jicho gani! Au unavunga kumlindia heshima.
 
Ndiyo yale juzi namuuliza mtoto mmoja wa jirani yangu kilo ya mawe na kilo ya manyoya ya kuku ipi nzito akasema ya mawe nilichoka na yupo darasa la tano.
 
Hiyo hesabu ni ya mtu aliyekomaa ambaye yuko madarasa ya juu. Chekechea kila kitu kama sio picha ni kwa uhalisia, sio kwa kufikiria.
Ndio maana wanasema ualimu wito... [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Reactions: Auz
Mafunzo bila practical hayaendi bwana
... Tafuta hizo pp tano na kakusanye watoto watatu kwa majirani
 
Alikujibu vema sana, make anataka mifano dhahiri na si longolongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…