Kumsajili Aziz K kwa 400m na akaja kuondoka Bure bila timu kupata chochote ni hasara

Kumsajili Aziz K kwa 400m na akaja kuondoka Bure bila timu kupata chochote ni hasara

Robidinyo

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
4,043
Reaction score
8,686
Wanaosema uongozi wa Yanga unaongozwa kisera na viongozi wao ni Ma check bob wapo sawa, uongozi makini usingeweza kumsajili mchezajinkwa 400m na kumpa mkataba wa miaka miwili pekee

Msimu wa kwanza mchezaji anaweza kuutumia kujitafuta msimu wa pili ndo akaonyesha uwezo wake, uongozi wa utopolo ulizubaa, ni bora hata wangempa mkataba wa miaka miwili na nusu wangeambulia chochote

Ni hasara na aibu mchezaji kuondoka free akiwa na thamani ya 1b+ hii ni ngumi ya mdomo kwa uongozi


Usikute pacome pia walimpa miaka 2 msimu ujao pia akaondoka free

Yanga bado mnalakujifunza kwa Simba Namna ya kuwapa mikataba na kuwauza wachezaji na timu kupata faida
 
Wanaosema uongozi wa Yanga unaongozwa kisera na viongozi wao ni Ma check bob wapo sawa, uongozi makini usingeweza kumsajili mchezajinkwa 400m na kumpa mkataba wa miaka miwili pekee

Msimu wa kwanza mchezaji anaweza kuutumia kujitafuta msimu wa pili ndo akaonyesha uwezo wake, uongozi wa utopolo ulizubaa, ni bora hata wangempa mkataba wa miaka miwili na nusu wangeambulia chochote

Ni hasara na aibu mchezaji kuondoka free akiwa na thamani ya 1b+ hii ni ngumi ya mdomo kwa uongozi


Usikute pacome pia walimpa miaka 2 msimu ujao pia akaondoka free

Yanga bado mnalakujifunza kwa Simba Namna ya kuwapa mikataba na kuwauza wachezaji na timu kupata faida
Mkataba ni makubaliano mbona hii kitu bado hamjataka kujifunza? What if kama mchezaji alisisitiza anataka mkataba wa miaka 2 wangemlazimisha? alf kwa achievement waliyopata Yanga kwa hio miaka 2 hawajarudisha hio pesa? Mwisho Aziz K ndio ata mchezaji wa kwanza kuondoka bure ? PSG hawana akili mpka Mbappe anaondoka bure?
 
Ifike mahali hii mikataba ya miaka 2 iangaliwe upya. Yaani mwaka wa kwanza mchezaji anacope mazingira,mwaka wa pili anauwasha na mkataba unaishi. Kama unaamini kiwango cha mchezaji huko alikotoka mpe miaka 3 na kuendelea. Unachukua mchezaji MVP wa ligi ya Ivory Coast unampa miaka 2 kweli?
 
Mkataba wa mpira ni kitu tricky sana wakati wa kuanza. Ukiwa mrefu sana lakini mcheazji akabuma kama ilivyotokea kwa Yanga na Bigirimana au Kambole hiyo inakuwa ni tabu kwa timu. Usajiri wa Aziz K kwa kiasi chochote kinachotajwa umesharudisha faida. Sidhani kama Yanga ilimnunua bali hiyo ilikuwa ni signing fee; wakati Yanga inamchukua alikuwa free agent pia akiwa amemaliza tu mktaba wake na ASEC Mimosas.
1717077931148.png


Mwaka wa kwanza Aziz hakufanya vizuri sana kwa vile nabi alikuwa anapenda kutumia sana wazawa isipokuwa pale ambapo kiwango cha wazawa kilikuwa chini. Hivyo Fei toto ndiye akawa anatumika sana kuliko Aziz. Filosofi ya Nabi ilikuwa ni nzuri sana kwenye mstakhabali wa nchi kwani hata usajiri alikuwa anaanza kwa kuangalia wachezaji wazawa kabla hajafikiria wa nje. Ndiyo nji iliyotumika kuwapata Mudathir, Nkane vijana wengineo
 
Back
Top Bottom