wakimataifa
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 942
- 168
mwanasheria wa yanga anadai kuwa kaseja okwi na jaja kuwashitaki fifa sasa kumshtaka jaja ni vichekesho wapenzi mashabiki mmemzomea jaja mpaka akaona kucheza yanga ni dhahama mbrazili kaamua kubaki kwao sasa mnamtakia nini