GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Msifieni tena Jumapili ijayo ( tarehe 16 April, 2023 ) akikutana na Wanamume.
Na kuna ( Wanangu ) Wachezaji Rafiki Wawili wazawa wa Simba SC ( Waandamizi ) kabisa nimeshawapa Kazi Maalum kwa Aziz K, Mayele, Aucho na Kiherehere Moloko ili Wamalize Shughuli mapema.
Na Bangi nitakazowapa Safari hii siyo ya Kwetu Tarime au Arumeru au ya Njombe au ya Songea bali sasa nawapa Kitu Kikali kabisa cha kutoka Blantyre nchini Malawi Kudadadeki.
Nimewapania na mtakoma Jumapili.
Na kuna ( Wanangu ) Wachezaji Rafiki Wawili wazawa wa Simba SC ( Waandamizi ) kabisa nimeshawapa Kazi Maalum kwa Aziz K, Mayele, Aucho na Kiherehere Moloko ili Wamalize Shughuli mapema.
Na Bangi nitakazowapa Safari hii siyo ya Kwetu Tarime au Arumeru au ya Njombe au ya Songea bali sasa nawapa Kitu Kikali kabisa cha kutoka Blantyre nchini Malawi Kudadadeki.
Nimewapania na mtakoma Jumapili.