swali langu... sasa mie na shangaa mtu asipo mtongoza mke wake/ au mme wake where is the funny part of marriage? kama mwanaume/mwanamke hajui kusema maneno mazuri, kumsifia mke wake, kumtania etc... I think life can get really boring...Hehehehe kuna jamaa etu akisha piga ulabu huwa anamtongoza mke wake lol,
let me quote one of the member's comment. ...
swali langu... sasa mie na shangaa mtu asipo mtongoza mke wake/ au mme wake where is the funny part of marriage? kama mwanaume/mwanamke hajui kusema maneno mazuri, kumsifia mke wake, kumtania etc... I think life can get really boring...
Kutongeza manake to flirting au? correct me if I am wrong
If you flirt with someone, you behave as if you are sexually attracted to them, in a playful or not very serious way.And what is does it mean by flirting?
If you flirt with someone, you behave as if you are sexually attracted to them, in a playful or not very serious way.
umeamua uilete huku?.........
nitaijibia pia sababu nilishuhudia...!
jamaa alimtoa mkewe out.baada ya bia nyingi na nyama alisahau kwamba yupo na mkewe,alidhani yupo na kimada/baa medi kama kawaida yake.akawa anam-bamba sana na makissi na mahug.mkewe akajua ni pombe jamaa kafurahi.
mwisho wa siku kama saa nane usiku jamaa akamwambia mkewe....''SASA VIPI WEWE MREMBO LEO NAONDOKA NA WEWE AU HAUKO FREE?...CHUMBA NIMESHALIPIA...!''....
unajua kilichotokea?
umeamua uilete huku?.........
nitaijibia pia sababu nilishuhudia...!
jamaa alimtoa mkewe out.baada ya bia nyingi na nyama alisahau kwamba yupo na mkewe,alidhani yupo na kimada/baa medi kama kawaida yake.akawa anam-bamba sana na makissi na mahug.mkewe akajua ni pombe jamaa kafurahi.
mwisho wa siku kama saa nane usiku jamaa akamwambia mkewe....''SASA VIPI WEWE MREMBO LEO NAONDOKA NA WEWE AU HAUKO FREE?...CHUMBA NIMESHALIPIA...!''....
unajua kilichotokea?
If you flirt with someone, you behave as if you are sexually attracted to them, in a playful or not very serious way.
actually not flirting but michezo ya kimapenzi kati ya mke na mume!So can someone flirt with his wife?
umeamua uilete huku?.........
nitaijibia pia sababu nilishuhudia...!
jamaa alimtoa mkewe out.baada ya bia nyingi na nyama alisahau kwamba yupo na mkewe,alidhani yupo na kimada/baa medi kama kawaida yake.akawa anam-bamba sana na makissi na mahug.mkewe akajua ni pombe jamaa kafurahi.
mwisho wa siku kama saa nane usiku jamaa akamwambia mkewe....''SASA VIPI WEWE MREMBO LEO NAONDOKA NA WEWE AU HAUKO FREE?...CHUMBA NIMESHALIPIA...!''....
unajua kilichotokea?
umeamua uilete huku?.........
nitaijibia pia sababu nilishuhudia...!
jamaa alimtoa mkewe out.baada ya bia nyingi na nyama alisahau kwamba yupo na mkewe,alidhani yupo na kimada/baa medi kama kawaida yake.akawa anam-bamba sana na makissi na mahug.mkewe akajua ni pombe jamaa kafurahi.
mwisho wa siku kama saa nane usiku jamaa akamwambia mkewe....''SASA VIPI WEWE MREMBO LEO NAONDOKA NA WEWE AU HAUKO FREE?...CHUMBA NIMESHALIPIA...!''....
unajua kilichotokea?