Kumtuma mchezaji akaroge ni aibu

Nas Mapesa

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2014
Posts
5,286
Reaction score
5,421
Mpira unakosewa heshima sana siku hizi, hii aibu kwa nchi yetu haiwezi kuvumilika tena, mamlaka zinapaswa kutoa onyo zaidi ya hili la kumfungia mtu mechi 3.

Kwanini wasimtumie hata Babra kwenda kuwanga mchana ule jamani, hivi kweli mchezaji anashiriki hii tena jua kali?

Walivyofanya ulozi kule Bondeni na kutia aibu nchi tulinyamaza, ila hili la kumtembeza mchezaji bila nguo mchana aisee, big no.
 
Leo wali(mwali mmoja) wa Ihefu wametoka ndani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…