kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Naona Fei kila ikikaribia game ngumu anaibuka kutoka mafichoni na kuwahadaa Yanga kwa kesi isiyo na mashiko wala haimpi faida yeye zaidi ya anguko lake kimpira.
Na sisi wana lunyasi ikitokea Fei kutoka machakani tunahamisha focus yetu nakuanza kushabikia hii kesi kama vile tunampenda sana Fei toto kumbe hamna zaidi ya kushabikia vitu hata tusivyovijua na inatufanya tuonekane mipang'ang'a.
Wanalunyasi tufocus kwenye derby yetu tuachane na masuala ya fei na yanga tunatoka kwenye mchezo kizembe hata kama sisi ni mambumbumbu kwenye hili tukatae kutumika kijinga.
Tukatae ukolo, umbumbumbu, ungada na kuwa malalamiko fc na uchawi tuache hautusaidii mpira ni mchezo wa wazi.
Na sisi wana lunyasi ikitokea Fei kutoka machakani tunahamisha focus yetu nakuanza kushabikia hii kesi kama vile tunampenda sana Fei toto kumbe hamna zaidi ya kushabikia vitu hata tusivyovijua na inatufanya tuonekane mipang'ang'a.
Wanalunyasi tufocus kwenye derby yetu tuachane na masuala ya fei na yanga tunatoka kwenye mchezo kizembe hata kama sisi ni mambumbumbu kwenye hili tukatae kutumika kijinga.
Tukatae ukolo, umbumbumbu, ungada na kuwa malalamiko fc na uchawi tuache hautusaidii mpira ni mchezo wa wazi.