Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Inakuwaje pale uko kwenye ndoa yako ya miaka kadhaa huku mkiwa na watoto, baadaye inatokea ugomvi mnaamua kuachana na mke/mme wako mliyepambana naye kwenye shida mpaka hapo ulipofikia kwenye hatua fulani ya kiuchumi, na kuamua kuishi na mwanamke/mwanaume mwingine aliyekuwa mchepuko wako huko nyuma.
Je, hiyo ni akili ya kawaida?
Je, hiyo ni akili ya kawaida?