Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Mkuu,nadhani kuachana ni mchakato mrefu....mbaya zaidi kinachokufanya utengane naye ni ile hali ya kumchukia tu,na hakuna sababu nyingine.Sioni tatizo hapo maana mshaamua kuachana sasa kuna ulazima gani wa kulazimisha kuishi pamoja hali ya kuwa hakuna maelewano tena, mwishowe mje muuane bure
Mkishindwa kuelewana ni vema kila mtu a move on ili kila mtu afurahie kile anachoona ni sahihi kwake
Mkuu mtagawana na wangapi,huku umri ukikimbiaKama ni wanandoa si mtagawana hicho mlichokitafuta kisha mnatakiana kila la kheri!
Hamna shida hata ukioa mama mwenye nyumba!
Kweli mkuuKibubu cha ndoa kina mengi yenye utata mwingi
Yanasikitisha sanaWala usishangae haya mambo yapo tu
Kuachana na mwenzi wa ndoa ni mara chache sana,na inaweza isitokeeMkuu mtagawana na wangapi,huku umri ukikimbia
ha ha ha ina madhara gani?N kama kubadili ndala tuh,
Ikikatika tupa kule, nunua mpya
Ni sahihi kuwa hivyoKawaida kabisa.