Kumuacha mkeo/mmeo na kuoa mchepuko, hiyo ni akili ya kawaida?

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Inakuwaje pale uko kwenye ndoa yako ya miaka kadhaa huku mkiwa na watoto, baadaye inatokea ugomvi mnaamua kuachana na mke/mme wako mliyepambana naye kwenye shida mpaka hapo ulipofikia kwenye hatua fulani ya kiuchumi, na kuamua kuishi na mwanamke/mwanaume mwingine aliyekuwa mchepuko wako huko nyuma.

Je, hiyo ni akili ya kawaida?
 
Mkuu,nadhani kuachana ni mchakato mrefu....mbaya zaidi kinachokufanya utengane naye ni ile hali ya kumchukia tu,na hakuna sababu nyingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…