Inategemeana na jinsi anavyochukulia,kama amekonda kwa magonjwa basi anaweza akajisikia vibaya.
but sometimes unakuta ni macho yako tu na hajakonda na hana tatizo basi atachukulia poa,
cha msingi angalia na jinsi afya ya huyo mtu ilivyo.
Utakondaje kwa macho ya mtu mwingine?
unless mtu awe kwenye mission ya kupunguza uzito ndo ukimwambia amekonda ana-appreciate, otherwise ni uhasama tu
Yaani mfano mtu aje aniambie mie nimekonda, kweli namtandika navyopenda kunenepa ivo ili nitoe supu nyingi, sitaki kuwa ka starter afu uniambie nimekonda?!!!
lol basi we umepungua,sasa hivi unabebekaUtakondaje kwa macho ya mtu mwingine?
unless mtu awe kwenye mission ya kupunguza uzito ndo ukimwambia amekonda ana-appreciate, otherwise ni uhasama tu
Yaani mfano mtu aje aniambie mie nimekonda, kweli namtandika navyopenda kunenepa ivo ili nitoe supu nyingi, sitaki kuwa ka starter afu uniambie nimekonda?!!!
Kongosho, mtu akifanya mpangilio 'anapungua' na sio kukonda. Actually loosing 10% of ur body weight inachukuliwa una tatizo la kiafya kama TB, HIV/AIDS ama diabetes
Hahaha, umezibuka.
Nchi nyingine, hasa zenye tatizo la obesity, mtu kukwambia "umekonda" inaweza kuwa compliment. Unaonekana unafanya mazoezi, una keep fit etc.
All in all mtu mwenyewe ajisemee, sio miswali kama kituo cha polisi.
Najua umentukana na hiyo zibuka
will deal with u later
We ni Basata bakita
anyway najua umenipata swala la kusifia kupungua hadi mtu awe alikuwa anataka kufanya ivo
utumie kapungua, kakonda
Unakutana na mtu unamfahamu
lakini hujamuona siku nyiingi...
but unashtuka unamuona amekonda saana
amebadilika kiafya.....je kumuuliza ni sawa?????
naona watu wengi siku hizi hawapendi kuulizwa
mbona umekonda saana....
mimi huwa najifanya sija notice ....nakosea??????
kipi ni sahihi ?kuuliza au kutouliza?????
Unakutana na mtu unamfahamu
lakini hujamuona siku nyiingi...
but unashtuka unamuona amekonda saana
amebadilika kiafya.....je kumuuliza ni sawa?????
naona watu wengi siku hizi hawapendi kuulizwa
mbona umekonda saana....
mimi huwa najifanya sija notice ....nakosea??????
kipi ni sahihi ?kuuliza au kutouliza?????