Soulbrother
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 405
- 17
mhhh.......
waone wazazi wake........
Hilo linaeleweka ila natafuta njia ya kumwambia kwanza... njia itakayompendeza
punguza kuiga sinema kaka...
mwambie mkiwa kitandani asubuhi kabla hujaenda kazini.....
maagizo achana nayo....