Sina mtoto lakini nmefundishwa kuwa maziwa ya kila mnyama ni kwaajili ya mnyama wa aina ile, maziwa ya ng'ombe ni kwaajili ya mtoto wa ng'ombe.
Kitu kingine ni kwamba tunatofautiana kwa asilimia kubwa binadam na ng'ombe katika ukomavu wa ubongo.
Mtoto wa ng'ombe huzaliwa na ubongo ulio komaa kwa zaidi ya 90% ndio maana ndama huchukua mda mfupi tu na kuanza kucheza mwenyewe.
Mtoto wa binadam ubongo wake huwa bado hauja komaa kabisaaaa almost below 25% kama sikosei, kwa hiyo, ubongo wa mtoto wa binadam huendelea kukomaa kadri anavyo endelea kukua, na hii prosesi hufanyika ndani ya miezi kadhaa ya mwanzo, na prosesi hii husaidiwa zaidi na chakula cha mama (maziwa ya mama).
Help your baby to grow well dont give him/her cows milk so early, do it after six month it will be better.
Watu wengi ambao hawashindi nyumbani na watoto wao, hukamua maziwa yao (maziwa ya mama) na kuyaacha ili mtoto akihitaji maziwa anapewa.
I wish your baby a good health.