nicholasmari
JF-Expert Member
- Dec 28, 2024
- 630
- 583
Leo nimeona kioja baada ya Mkurugenzi wa Mipango ya miundombinu kuulizwa maswali na waandishi wa habari Dodoma kuhusu ujenzi wa miundo mbinu ya barabara. Hii ni kutokana na ufinyu wa uelewa wa waandishi wetu wa habari.
Waandishi wa habari walitakiwa kuuliza maswali ya kisera yanayogusa nchi nzima siyo specific qns kwa barabara zilizoko ktk maeneo husika.
Hayo maswali specific wameshauliza wabunge wa maeneo husika. Nyie mmetumwa na nani kuuliza hayo maswali?
Hata hivyo mkurugenzi ni mtu mdogo sana kujibu hayo maswali, hata mtendaji mkuu wa TanRoads hawezi kujibu, hayo ni maswali ya Waziri wa Ujenzi.
Waandishi wa habari walitakiwa kuuliza maswali ya kisera yanayogusa nchi nzima siyo specific qns kwa barabara zilizoko ktk maeneo husika.
Hayo maswali specific wameshauliza wabunge wa maeneo husika. Nyie mmetumwa na nani kuuliza hayo maswali?
Hata hivyo mkurugenzi ni mtu mdogo sana kujibu hayo maswali, hata mtendaji mkuu wa TanRoads hawezi kujibu, hayo ni maswali ya Waziri wa Ujenzi.