Kuna aina 4 za kiwango Cha akili i.e Intelligent Quotient(IQ)

Kuna aina 4 za kiwango Cha akili i.e Intelligent Quotient(IQ)

FPN

Member
Joined
May 10, 2024
Posts
52
Reaction score
92
1) Intelligent Quotient (IQ)
2) Emotional Quotient (EQ)
3) Social Quotient (SQ)
4) Adversity Quotient (AQ)

1. Intelligence Quotient (IQ): hiki ndicho kipimo cha kiwango chako cha ufahamu. Unahitaji IQ kukokotoa hesabu, kukariri mambo, na kukumbuka masomo.
Example 220÷2=110
Me:220/2=200/2+20/2
100+10=110.😊😊😊😊 Haya tuendelee.
2. Emotional Quotient (EQ): hiki ni kipimo cha uwezo wako wa kudumisha amani na wengine, kushika wakati, kuwajibika, kuwa mwaminifu, kuheshimu mipaka, kuwa mnyenyekevu, mkweli na mwenye kujali.

3. Social Quotient (SQ): hiki ni kipimo cha uwezo wako wa kujenga mtandao wa marafiki pamoja na jamii inayokuzunguuka kwa ujumla na kuudumisha kwa muda mrefu.

4. Adversity Quotient(AQ)Kiwango cha kuhimili Magumu : Kipimo cha uwezo wako wa kupitia sehemu mbaya ya maisha, na kutoka humo bila kupoteza akili yako.
Point to Note

~In really life watu wenye IQ huwa wanaajiriwa na watu wenye EQ,SQ and AQ.
~AQ:kiwango Cha kuhimili Magumu ni IQ Bora zaidi kuliko zote kwa Sasa japo kwa zamani SQ ndo ilisadikika kuwa Bora lakini kupitia matukio na matatizo mbalimbali yanayowakuta wanadamu baada ya kupitia magumu mfano kujinyonga, kuuana kwasababu mbalimbali za mapenzi n.k kunafanya AQ ndo inakua Bora kuzidi zote.

Imeandaliwa na;
Faustine Paschal Nyambita(BABA ETHAN)

Mwandishi huru wa kujitegemea.
Contacts; +255786948865/+255677800787.
Mail; faustinenyambita00@gmail.com
 
SQ Mimi napenda kusocialize na mabinti wa kike nipige nao stori , kuwapiga touch na kuwatungunyua papuchi na gobole, vipi niambie niamie kwenye EQ au AQ, mana IQ tayari ninayo.
 
Chagua unachoona ni sahihi lakini tuko kwenye dunia ya kuwa makini Sana kuweza kunusa hatari na kuzuia tatizo kabla halijatokea (pre emption)
 
SQ Mimi napenda kusocialize na mabinti wa kike nipige nao stori , kuwapiga touch na kuwatungunyua papuchi na gobole, vipi niambie niamie kwenye EQ au AQ, mana IQ tayari ninayo.
Vp wwe hupendi kusocialize na mabinti wa kiume!? Wwe wapenda mabint wa kike tu!![emoji23][emoji1787][emoji1787]
 
Hamna money quotient? Hiyo ingekuwepo ningeidevelop kwa nguvu zote, hizi nyingine ninazo zote kwa kiwango cha kati 😆😆😆
 
IQ yako wewe ngapi ?
Ah mkaliiiiiiii sahivi tupo kwenye ulimwengu mwingine wa kutumia 6th sense Yani mlango wa fahamu wa sita ambao ni uwezo wa kunusa hatari rate za IQ zinabadilika tunapoelekea mtu mwenye akili ya kuvuka Barabara vizuri itachangia IQ maana Teknolojia imekua Sana.
 
Hamna money quotient? Hiyo ingekuwepo ningeidevelop kwa nguvu zote, hizi nyingine ninazo zote kwa kiwango cha kati 😆😆😆
Hahahaha mkali ukiwa na AQ, uwezo wa kuvumilia magumu pesa zitakuja tu, amini Hilo mkuu
 
Chagua unachoona ni sahihi lakini tuko kwenye dunia ya kuwa makini Sana kuweza kunusa hatari na kuzuia tatizo kabla halijatokea (pre emption)
Kwanini wewe UPO? Thamani ya wewe ni NiNi? Jua tofauti ya IPI na NiNi
 
1) Intelligent Quotient (IQ)
2) Emotional Quotient (EQ)
3) Social Quotient (SQ)
4) Adversity Quotient (AQ)

1. Intelligence Quotient (IQ): hiki ndicho kipimo cha kiwango chako cha ufahamu. Unahitaji IQ kukokotoa hesabu, kukariri mambo, na kukumbuka masomo.
Example 220÷2=110
Me:220/2=200/2+20/2
100+10=110.😊😊😊😊 Haya tuendelee.
2. Emotional Quotient (EQ): hiki ni kipimo cha uwezo wako wa kudumisha amani na wengine, kushika wakati, kuwajibika, kuwa mwaminifu, kuheshimu mipaka, kuwa mnyenyekevu, mkweli na mwenye kujali.

3. Social Quotient (SQ): hiki ni kipimo cha uwezo wako wa kujenga mtandao wa marafiki pamoja na jamii inayokuzunguuka kwa ujumla na kuudumisha kwa muda mrefu.

4. Adversity Quotient(AQ)Kiwango cha kuhimili Magumu : Kipimo cha uwezo wako wa kupitia sehemu mbaya ya maisha, na kutoka humo bila kupoteza akili yako.
Point to Note

~In really life watu wenye IQ huwa wanaajiriwa na watu wenye EQ,SQ and AQ.
~AQ:kiwango Cha kuhimili Magumu ni IQ Bora zaidi kuliko zote kwa Sasa japo kwa zamani SQ ndo ilisadikika kuwa Bora lakini kupitia matukio na matatizo mbalimbali yanayowakuta wanadamu baada ya kupitia magumu mfano kujinyonga, kuuana kwasababu mbalimbali za mapenzi n.k kunafanya AQ ndo inakua Bora kuzidi zote.

Imeandaliwa na;
Faustine Paschal Nyambita(BABA ETHAN)

Mwandishi huru wa kujitegemea.
Contacts; +255786948865/+255677800787.
Mail; faustinenyambita00@gmail.com
Nimepata kitu,ahsante sana🙏
 
Back
Top Bottom