Kuna aina ya mahusiano ni muhimu ili maisha yaendelee

Kuna aina ya mahusiano ni muhimu ili maisha yaendelee

BabaMorgan

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
4,869
Reaction score
13,137
Kuwa na mahusiano na Mwanamke ambaye anapatikana muda wowote pale anapohitajika ni kitu cha muhimu sana kwa sisi ambao bado tunapigania kombe na hatuna wake.

Kuna jirani yangu alikuwa ananisaidia sana wakati wote sikuwahi kuiona value yake mpake pale alipohama mkoa kutokuwepo kwa huyu binti kumefanya mambo kuwa magumu to the maximum mara nyingi ilikuwa mishe zangu zikienda ndivyo sivyo stress nilikuwa natolea kwake.

Shida nazopitia kwa kukosa uwepo wake matamanio ya kingono yamekuwa juu kwenye wakati ambao pesa ni ngumu saa hivi 24 hours nawaza ngono in other words upwiru unanitesa.

Juhudi za kutafuta replacement yake zinagonga mwamba unapata mtu lakini sio loyal kama alivyokuwa jirani yangu yaani mtu kuja magetoni mpaka ujielezee wakati jirani yangu ilikuwa simu moja tu.

Conclusion kwa sisi ambao kwangu pakavu kumpata mtu ambaye yupo tayari wakati wowote kuna punguza ukali wa maisha.
 
Kuwa na mahusiano na Mwanamke ambaye anapatikana muda wowote pale anapohitajika ni kitu cha muhimu sana kwa sisi ambao bado tunapigania kombe na hatuna wake.

Kuna jirani yangu alikuwa ananisaidia sana wakati wote sikuwahi kuiona value yake mpake pale alipohama mkoa kutokuwepo kwa huyu binti kumefanya mambo kuwa magumu to the maximum mara nyingi ilikuwa mishe zangu zikienda ndivyo sivyo stress nilikuwa natolea kwake.

Shida nazopitia kwa kukosa uwepo wake matamanio ya kingono yamekuwa juu kwenye wakati ambao pesa ni ngumu saa hivi 24 hours nawaza ngono in other words upwiru unanitesa.

Juhudi za kutafuta replacement yake zinagonga mwamba unapata mtu lakini sio loyal kama alivyokuwa jirani yangu yaani mtu kuja magetoni mpaka ujielezee wakati jirani yangu ilikuwa simu moja tu.

Conclusion kwa sisi ambao kwangu pakavu kumpata mtu ambaye yupo tayari wakati wowote kuna punguza ukali wa maisha.
Mnapenda kuwashenyeta watoto wa wenzenu halafu hamuwaoi... anyway huu uzi ni sawa na wawale wanaotafuta wapenzi ila huu umeandikwa indirectly.

Ni sawa na mtu anaemwambia mpenzi wake "you're the most beautiful woman in the room" badala ya kumwambia "I love you" ndicho ulichokifanya wewe hapa ndugu muandishi. Very genius.
 
Tatizo linakuja pale ambapo hawa akina "chapa ilale" wanapodaka ujauzito halafu wakagoma kutoa.

Humpendi hata kidogo, maana ulikuwa unatolea stress tu lkn ndo tayari ana mimba. Utaoa usiyempenda.
 
20240708_221101.jpg
 
Kuwa na mahusiano na Mwanamke ambaye anapatikana muda wowote pale anapohitajika ni kitu cha muhimu sana kwa sisi ambao bado tunapigania kombe na hatuna wake.

Kuna jirani yangu alikuwa ananisaidia sana wakati wote sikuwahi kuiona value yake mpake pale alipohama mkoa kutokuwepo kwa huyu binti kumefanya mambo kuwa magumu to the maximum mara nyingi ilikuwa mishe zangu zikienda ndivyo sivyo stress nilikuwa natolea kwake.

Shida nazopitia kwa kukosa uwepo wake matamanio ya kingono yamekuwa juu kwenye wakati ambao pesa ni ngumu saa hivi 24 hours nawaza ngono in other words upwiru unanitesa.

Juhudi za kutafuta replacement yake zinagonga mwamba unapata mtu lakini sio loyal kama alivyokuwa jirani yangu yaani mtu kuja magetoni mpaka ujielezee wakati jirani yangu ilikuwa simu moja tu.

Conclusion kwa sisi ambao kwangu pakavu kumpata mtu ambaye yupo tayari wakati wowote kuna punguza ukali wa maisha.
Mtafute umuoe huyo binti.
 
Tatizo linakuja pale ambapo hawa akina "chapa ilale" wanapodaka ujauzito halafu wakagoma kutoa.

Humpendi hata kidogo, maana ulikuwa unatolea stress tu lkn ndo tayari ana mimba. Utaoa usiyempenda.
Alafu unakuta kienyeji pure, acha kabisa, hahaha
 
Tatizo linakuja pale ambapo hawa akina "chapa ilale" wanapodaka ujauzito halafu wakagoma kutoa.

Humpendi hata kidogo, maana ulikuwa unatolea stress tu lkn ndo tayari ana mimba. Utaoa usiyempenda.
Hivi mtu ukimpa mimba lazima umuoe?
 
Back
Top Bottom