Ni wananchi ndio ambao ni wafuasi wa chadema,Hao ni wananchi wamemchoka huyo mzee wako!
Sasa na watu wengine wakifanya maandamano kama hayo ku support magufuli au kumsema Anti , ndio itakuwa ndio msimamo wa majority of Tanzanians ?
Mkuu sasa kama mnajua hivyo si mmwambie Lisu hizo hela bora akanunue kashamba kuliko kuhangaikia kitu ambacho hakipo?
Ni wananchi ndio ambao ni wafuasi wa chadema,
Hata wananchi wafuasi wa ccm wamaweza kuimba hivyo kumwambia Lisu au Mbowe sasa hapo cha ajabu ni kipi?
Kura yangu haienddi kwa magu hatakidogo . Na machungu mengi mengi ukiachana na ajira Bab angu kastaafu mpaka leo hela hamna wakati ni haki yake
Ukizingatia mzee baba ulishaweka mipango yako kwenye fungu la mzeeKura yangu haienddi kwa magu hatakidogo . Na machungu mengi mengi ukiachana na ajira Bab angu kastaafu mpaka leo hela hamna wakati ni haki yake
Wewe jamaa vipi aise mbona unauliza swali Kama mtoto.Sasa na watu wengine wakifanya maandamano kama hayo ku support magufuli au kumsema Anti , ndio itakuwa ndio msimamo wa majprity of Tanzanians ?
Leo kasema wamuonee hurumaMabibi na mabwana heshima kwenu.
Siku ya 9 leo tangu kampeni zianze, hali ya upepo nchini kwa ujumla tayari inatoa picha kuhusiana na uchaguzi mkuu ujao.
Magufuli alidhani anakubalika kwa 100%. Alidhani wapinzani hawatakuwa na hoja na eti labda wangekuwa wanamfanyia yeye kampeni tu.
La haula! Hali si hivyo.
Upepo umebadilisha ile minya minya yote ya habari. Wanapodhibiti radio na Tvs, ndiyo kwanza inawahamasisha zaidi wananchi kwenda mikutanoni.
Ukweli mchungu ni kuwa pana kundi kubwa la watu wenye chuki na hata hasira na mkuu huyu.
Yote kheri, kwa vile kuishi kwingi ni kuona mengi bila shaka huu utakuwa ni wasaa mzuri kwake kuweza kujitafakari.
Kwanini kama binadamu uchukiwe kiasi tunachokiona? Nini alichowakwaza hivi wamchukiao? Afanye nini kuubadili upepo huu?
Leo tu wazima hakuna ajuaye yajayo. Katangulia mzee Mkapa (rip) mema yake mengi yalisomwa.
Hala hala mtu unaweza somewa maovu kimzaha mzaha hivi hivi.
Ilikuwa vyema kuelezana wakati tungali hai na katika hali ya amani. Pana na kesho na keshokutwa pia.
Mbona kina mzee ruksa, mzee kikwette na wengine wapo wanadunda mtaani na amani zao zote za moyo?
Hali isije kuwa tofauti kwa Mzee baba kwani hao wengine hawakuwahi kuchukiwa kwa kiwango cha wazi hivi.
Misahafu inasema heri ya wapatanishi.
Kwa pamoja tuwasaidie watia nia wetu kukubalika kwa wananchi
Bandugu halipo neno mantashari kama tuhoye (kisukuma), rajunah (Italiano), rejoice (English), yaani maridhiano (kiswahili).
Hala hala kabla ya hatari.
Tahadhari inaponya!
Ni mtu wa ajabu sana. Yaani utadhani ni jitu fulani hivi halina akili.Aongezewe miaka mingine ya ushamba na ulimbukeni wa kutupa ,hivi kweli usiongeze mishahara miaka mitano , usipandishe madaraja miaka mitano , watu watekwe wauwawe , udhulumu wastaafu , ule hela za wahanga wa tetemeko la kagera na hela za korosho ? Watu wakuchague hiyo itakuwa akili matope ?
Leo kasema wamuonee huruma
Ni mtu wa ajabu sana. Yaani utadhani ni jitu fulani hivi halina akili.
Hafai hata kuwa mwenyekiti wa mtaa.Huyu ni wa kupigia kelele relentlessly.
Hatufai.
Na wako wanaoshabikia kuenezwa kwa chuki hizo kana kwamba madhara yake yanakomea kwa jirani
U ought 2 be a stupid of a highest order , by thinking that what U want U will get it throught maanamb787Wewe jamaa vipi aise mbona unauliza swali Kama mtoto.
CCM fanyeni tu ndo Haki yenyewe MH TL anawapigania hiyo.
Ila hamjielewi ni kama zombies tu!
Kura yangu haienddi kwa magu hatakidogo . Na machungu mengi mengi ukiachana na ajira Bab angu kastaafu mpaka leo hela hamna wakati ni haki yake
Unadhani sisi tunalea mapacha wa maria tupo field magufuli out hata suku.ma land imemyemaMkuu!
Acheni kushinda mitandaoni njooni huku mitaani jamani huku ndio kura zilipo.
Yani kwa jinsi hali ilivyo huku ni kama vile watu walishajitayarisha kumpitisha Magu.
Sioni upinznai mtatokea wapi mwaka huu
Jamaa kama ni timamu kichwan atakuwa kapata somo kubwa Sana.... Kuwa upinzani upo upo Tena na hasira juuMabibi na mabwana heshima kwenu.
Siku ya 9 leo tangu kampeni zianze, hali ya upepo nchini kwa ujumla tayari inatoa picha kuhusiana na uchaguzi mkuu ujao.
Magufuli alidhani anakubalika kwa 100%. Alidhani wapinzani hawatakuwa na hoja na eti labda wangekuwa wanamfanyia yeye kampeni tu.
La haula! Hali si hivyo.
Upepo umebadilisha ile minya minya yote ya habari. Wanapodhibiti radio na Tvs, ndiyo kwanza inawahamasisha zaidi wananchi kwenda mikutanoni.
Ukweli mchungu ni kuwa pana kundi kubwa la watu wenye chuki na hata hasira na mkuu huyu.
Yote kheri, kwa vile kuishi kwingi ni kuona mengi bila shaka huu utakuwa ni wasaa mzuri kwake kuweza kujitafakari.
Kwanini kama binadamu uchukiwe kiasi tunachokiona? Nini alichowakwaza hivi wamchukiao? Afanye nini kuubadili upepo huu?
Leo tu wazima hakuna ajuaye yajayo. Katangulia mzee Mkapa (rip) mema yake mengi yalisomwa.
Hala hala mtu unaweza somewa maovu kimzaha mzaha hivi hivi.
Ilikuwa vyema kuelezana wakati tungali hai na katika hali ya amani. Pana na kesho na keshokutwa pia.
Mbona kina mzee ruksa, mzee kikwette na wengine wapo wanadunda mtaani na amani zao zote za moyo?
Hali isije kuwa tofauti kwa Mzee baba kwani hao wengine hawakuwahi kuchukiwa kwa kiwango cha wazi hivi.
Misahafu inasema heri ya wapatanishi.
Kwa pamoja tuwasaidie watia nia wetu kukubalika kwa wananchi
Bandugu halipo neno mantashari kama tuhoye (kisukuma), rajunah (Italiano), rejoice (English), yaani maridhiano (kiswahili).
Hala hala kabla ya hatari.
Tahadhari inaponya!