Kitwa-Mulomoni
JF-Expert Member
- Oct 25, 2016
- 1,779
- 1,119
Huo ni unyenyekevu wa mtu mwenye busara. Ambaye halazimishi kitu, japo anajua atashinda. Kinyume na Tundu Lissu ambaye anajua hatashinda analazimisha kwa kueneza chuki.
Kwani Twitter Kuna maroboti ?Ni kwa vile unafuatulia kampeni kupitia twiter account ya kigogo,
Huku field kijana mambo ni mazuri sana kwa JPM.
Basi kwa vile nyie ni wagumu na wabishi tusubiri oktoba.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mimi hata simuelewi anaongea tu trilioni sijui tumenunua ndege , tumejenga hospital . Mimi asinihusishe kabisa sijanunua nae chochote wala sijajenga nae tena aishie kuleee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
U can not build a nation kwa demonstrations but via hard work , hata yellow vest in France walikuwa wanatawanywaWewe jamaa vipi aise mbona unauliza swali Kama mtoto.
CCM fanyeni tu ndo Haki yenyewe MH TL anawapigania hiyo.
Ila hamjielewi ni kama zombies tu!
Magu hakubaliki na wenye akili.Ni kwa vile unafuatulia kampeni kupitia twiter account ya kigogo,
Huku field kijana mambo ni mazuri sana kwa JPM.
Basi kwa vile nyie ni wagumu na wabishi tusubiri oktoba.
Nyie wenye njaa zilizopanda kichwani ndio mnaomdanganyaNi kwa vile unafuatulia kampeni kupitia p account ya kigogo,
Huku field kijana mambo ni mazuri sana kwa JPM.
Basi kwa vile nyie ni wagumu na wabishi tusubiri oktoba.