kuna aliy wahi nunua kupitia hawa Alibaba wa China?

kuna aliy wahi nunua kupitia hawa Alibaba wa China?

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
7,872
Reaction score
9,263
wakuu kuna kitu nataka kununua china na niliwasiliana na wale watu wanao kuwa online kule alibaba na imefikia nitume pesa kwa njia ya western union then wanitumie mzigo kwa njia ya Hongkong Posta Air, ni kama mzigo wa Dolla 54.4, ila bado si jalipa make nasikia ni matapeli sana
 
Kaka,

Mimi nimeshawahi kununua Alibaba vitu tofauti tofauti, mara kadhaa kwa muda sasa.

Kuna wafanya biashara wazuri Alibaba na pia kuna matapeli kama ulivyosema. Cha msingi ni kuwa makini na mtu unaefanya nae biashara. Angalia kama ni "Gold Supplier" na kama amekuwa "Verified" na Alibaba. Hizi ni moja ya hatua za awali kuhakikisha kama haufanyi biashara na tapeli.

Make sure you transact with a verified supplier.

Pili, cheki kama wana website, na itembelee website yao. Wafanya biashara wengi wa China walio makini wanakua na website nzuri kuonyesha umakini wao.

Pia, mwambie akupe physical address yake na mtaarifu kuwa una mtu China ambae atakuja kufanya local pick-up. Wafanya biashara wengi matapeli utawajua tu inapofikia hatua hii.

Kama bado unasita, nitumie link ya Alibaba profile ya hiyo kampuni unayotaka kufanya nayo kazi nione kama naweza kukusaidia.

Mimi nimenunua vitu Alibaba mara nyingi. Na hata last month nimepokea mizigo miwili kupitia EMS na DHL. Sijawahi kutapeliwa, ila inahitaji uwe makini sana. Wachina ni tapeli sana.
 
yes na mimi nilishaagiza mzigo na nilipata na kuna mzigo mwingine waliniwekea kwa njia ya meli upo njiani unakuja. mimi nilishafanya biashara nao karibia US$ 2,500
 
Never ever buy goods online and make payment through western union .You will beconned
 
Never ever buy goods online and make payment through western union .You will beconned

Kwa nini haifai kulipia via western union? Mbona kampuni nying sana za china zina hiyo optional?
 
Never ever buy goods online and make payment through western union .You will beconned


Yeah, matapeli wengi hutumia njia hii kirahisi zaidi.

Kwa nini haifai kulipia via western union? Mbona kampuni nying sana za china zina hiyo optional?

don't generalize

Ni kweli wanaweza kuwa supplier wa uhakika ila kwa kiasi kikubwa uwezekano wa kutapeliwa ni mkubwa zaidi kwa njia hiyo
 
wakuu kuna kitu nataka kununua china na niliwasiliana na wale watu wanao kuwa online kule alibaba na imefikia nitume pesa kwa njia ya western union then wanitumie mzigo kwa njia ya Hongkong Posta Air, ni kama mzigo wa Dolla 54.4, ila bado si jalipa make nasikia ni matapeli sana

Dola 54 ni pata potea. Ni kiwango kizuri cha kufanyia mazoezi ya kupoteza hela kwa kuwa utachukia lakini kwa mda mfupi alafu utasahau.
 
wakuu kuna kitu nataka kununua china na niliwasiliana na wale watu wanao kuwa online kule alibaba na imefikia nitume pesa kwa njia ya western union then wanitumie mzigo kwa njia ya Hongkong Posta Air, ni kama mzigo wa Dolla 54.4, ila bado si jalipa make nasikia ni matapeli sana

Mkuu unamaanisha Dollar 54.4 ambayo hata Tsh.100,000/= haifiki? Basi hiyo mkuu unaweza kuituma tu na hata ikipotea utakuwa umepata uzoefu!!!
 
Mkuu unamaanisha Dollar 54.4 ambayo hata Tsh.100,000/= haifiki? Basi hiyo mkuu unaweza kuituma tu na hata ikipotea utakuwa umepata uzoefu!!!
Hata kwenye kutapeliwa kunahitaji uzoefu?
 
Hata kwenye kutapeliwa kunahitaji uzoefu?

Mkuu kila kitu kinahitaji uzoefu!

Unafikri akitapeliwa leo na hao Alibaba atarudia tena? Thubutu!! Hivyo hata kutapeliwa nako kunahitaji uzoefu ili usirudie kosa tena!!
 
alibaba wako vizuri sana tu me pia nimeshanunua zaidi ya mara 2, tena malipo kwa western union zaidi ya dola 2000! we chamuhimu ni kujiridhisha kwa huyo supplier wako, ikibidi usimpatie direct peyment kwa mara ya kwanza, utumie acount za alibaba wenyewe co acount za supplier! itakusaidia kua na uhakika.
 
Back
Top Bottom