Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Dec 1, 2021 #21 Ngoja tuone...
Msudu JF-Expert Member Joined Aug 19, 2021 Posts 1,050 Reaction score 1,705 Dec 1, 2021 #22 GENTAMYCINE said: Kaandika hivi: Muongoza Ligi yuko Mbeya na Mbeba Ubingwa yuko Dar es Salaam. Kazi Kwenu. Click to expand... Nadhani huyu jamaa mambo mengi hufanya kiutani zaidi, hasa kulingana na aina ya soka letu na ushabiki wetu
GENTAMYCINE said: Kaandika hivi: Muongoza Ligi yuko Mbeya na Mbeba Ubingwa yuko Dar es Salaam. Kazi Kwenu. Click to expand... Nadhani huyu jamaa mambo mengi hufanya kiutani zaidi, hasa kulingana na aina ya soka letu na ushabiki wetu
data JF-Expert Member Joined Apr 9, 2011 Posts 26,858 Reaction score 23,768 Dec 2, 2021 #23 Hakuna wachambuzi wa soka TZ...ila huko media kumejaa magenge ya simba na yanga, na ndiko shida inakoanzia.
Hakuna wachambuzi wa soka TZ...ila huko media kumejaa magenge ya simba na yanga, na ndiko shida inakoanzia.
data JF-Expert Member Joined Apr 9, 2011 Posts 26,858 Reaction score 23,768 Dec 2, 2021 #24 Ningekuwa na uwezo ningefungia media zote vipindi vya michezo. Kumeja wahuni watupu.. Yani 'Nonsenses.
Ningekuwa na uwezo ningefungia media zote vipindi vya michezo. Kumeja wahuni watupu.. Yani 'Nonsenses.