Kuna aliyeona faida ya tozo?

Kuna aliyeona faida ya tozo?

Boss la DP World

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
2,318
Reaction score
8,464
Kipindi Samia anaweka tozo alikuja na ahadi lukuki ya kuendeleza miundombinu ya elimu na maji kupitia makusanyo ya tozo.

Nilikwenda mikoa ya kusini kuzungukia shule za msingi za vijijini, kisha nikaenda Morogoro DC kuzungukia shule za msingi na sasa niko Tabora.

Nilichokiona ni vitukuto. Hizo tozo mnazipeleka wapi? Hawa raia maskini wananufaikaje? Yaani kuna watu wanaishi kwenye mazingira duni sana wakati huo huo wengine wanachota hela kujenga timu zao za mpira.

Mtalaaniwa nyie.
 
Hii serikalini haina budi kuhitisha kikao cha dharura na kujitathmini, wananchi tumekuwa na subra isiyo ya kawaida, kila siku tunatarajia maybe kesho yetu itakuwa better than today lkn Hali ni tofauti! Serikali hatuna Imani nayo hata kidogo! Wanatumia nguvu kubwa sana kunyonya jasho la mwananchi huku wao wakiishi maisha ya anasa! Ila ipo siku tu Mungu ataingilia Kati!
 
Umasikini bado mkubwa sana bongo
 
Back
Top Bottom