Kuna aliyewahi kudate na persian girl humu anipe uzoefu?

Kuna aliyewahi kudate na persian girl humu anipe uzoefu?

Eeeeeeeeh
FB_IMG_17348518606640262.jpg
 
Soma hiyo:-

 
Kama ni Muslim huwa jamii ya Kanda alipotoka wanafunga ndoa za Muta/mkataba hata mwezi mmoja ni wewe tu.
Tumia njia hiyo kuwa tufunge ndoa ya mkataba miezi miwili ili ukimshindwa unasubiri mkataba uishe ...
Kuwa makini ni mafia balaa usikubali kuingizwa katika biashara za madini utakuja kamatishwa maana ndoo biashara kubwa now wanakuja nayo hiyo jamii.
 
Soma hiyo:-

Shukrani
 
Kama ni Muslim huwa jamii ya Kanda alipotoka wanafunga ndoa za Muta/mkataba hata mwezi mmoja ni wewe tu.
Tumia njia hiyo kuwa tufunge ndoa ya mkataba miezi miwili ili ukimshindwa unasubiri mkataba uishe ...
Kuwa makini ni mafia balaa usikubali kuingizwa katika biashara za madini utakuja kamatishwa maana ndoo biashara kubwa now wanakuja nayo hiyo jamii.
Sawa mkuu, shukrani
 
Back
Top Bottom