Hahahaha! Asha wewe?? Mwenzio asiseme km anaambiwaga aksante???..lol.Papa D acha kujifagilia bana....
Siku zote mwanamke yeyote duniani hata angekuwa na roho mbaya kiasi gani ukimfikisha kileleni (ukimkojolesha) lazima aseme asante!! Tena anapolitoa neno hilo huwa mpole huku machozi yafuraha yakimlenga!
Namshukuru mungu kazi hiyo yakumfikisha mwanamke naiweza!!!!
Hahahaha! Asha wewe?? Mwenzio asiseme km anaambiwaga aksante???..lol.
Siku zote mwanamke yeyote duniani hata angekuwa na roho mbaya kiasi gani ukimfikisha kileleni (ukimkojolesha) lazima aseme asante!! Tena anapolitoa neno hilo huwa mpole huku machozi yafuraha yakimlenga!
Namshukuru mungu kazi hiyo yakumfikisha mwanamke naiweza!!!![/QUOTE]
:dance: :biggrin1:
Siku zote mwanamke yeyote duniani hata angekuwa na roho mbaya kiasi gani ukimfikisha kileleni (ukimkojolesha) lazima aseme asante!! Tena anapolitoa neno hilo huwa mpole huku machozi yafuraha yakimlenga!
Namshukuru mungu kazi hiyo yakumfikisha mwanamke naiweza!!!!
Tehe, tehe, tehe!Sweetlady aseme basi direct sio kupindisha maneno... ni kweli kayapanga but ukisoma tu you know kua anauza....
Tehe, tehe, tehe!
'NO COMENT'
Nimeona mpendwa!..lol..Si umeona boss wangu (si wa kwangu...lol) kasema moja kwa moja bila kupinda??? hivyo ndo inatakiwa...
Siku zote mwanamke yeyote duniani hata angekuwa na roho mbaya kiasi gani ukimfikisha kileleni (ukimkojolesha) lazima aseme asante!! Tena anapolitoa neno hilo huwa mpole huku machozi yafuraha yakimlenga!
Namshukuru mungu kazi hiyo yakumfikisha mwanamke naiweza!!!!
Nimewahi kuwa na wapenzi kwa nyakati tofauti katika nchi kadhaa za kiafrika na Ulaya. kuwa wazi zaidi ni kwamba wapenzi hao wanafikia wanane. watano Wazungu na watatu waafrika.
Miongoni mwa hao sita [4whites and 2brown] wamewahi kunitolea expression moja ambayo hadi leo sielewi why and it was very natural!
Wakti fulani [ once or twice] baada ya kufanya mapenzi walitokea kusema AHSANTE! nlipouliza kwanini anashukuru mara zote hawasemi!!
1. Je, sababu ni nini?
2. Je, wanakuwa wanashukuru kweli?
3. Je, wanakuwa wameshukuru kutoka moyoni?
4. Kwa nini aiwi wakti wote mnapomaliza?
Papa D acha kujifagilia bana....
raha ujipe mwenyewe bana,
ukisubiri kupewa, utangoja mpaka uchoke!
Mbona umepotoka kupita maelezo ndg yangu? nani akupe majibu, cc tupo kwenye nafsi za hao wanawake wako! Acha umalayaNimewahi kuwa na wapenzi kwa nyakati tofauti katika nchi kadhaa za kiafrika na Ulaya. kuwa wazi zaidi ni kwamba wapenzi hao wanafikia wanane. watano Wazungu na watatu waafrika.
Miongoni mwa hao sita [4whites and 2brown] wamewahi kunitolea expression moja ambayo hadi leo sielewi why and it was very natural!
Wakti fulani [ once or twice] baada ya kufanya mapenzi walitokea kusema AHSANTE! nlipouliza kwanini anashukuru mara zote hawasemi!!
1. Je, sababu ni nini?
2. Je, wanakuwa wanashukuru kweli?
3. Je, wanakuwa wameshukuru kutoka moyoni?
4. Kwa nini aiwi wakti wote mnapomaliza?
mnh...asante,mbona neno linajieleza/linajitosheleza unataka ufafanuzi gani tena?....unataka tuwe wanajimu humu kama shehe yahya tukuambie kama zinatoka moyoni au la????:biggrin1: