Kuna anaetuma salamu kwa ex-wife wake

Ni mzuri sana, mke alitakiwa kifahamu zakuambiwa changanya na zako.
Dooh, shosti anakwambia achana naye bana kwani wanaume wameisha??, tena bado unalipa tu, sasa bila kuchanganya na zako ukirudi home unadai talaka ,duuh huyo rafiki asiniongeleshe milele kwakweli, ntamdundaa [emoji3] [emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…