Kuna anaewaelewa hawa Alistair group?

Kuna anaewaelewa hawa Alistair group?

kyanyangwe

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2018
Posts
1,275
Reaction score
3,316
Walinifanyisha test moja ngumu hatari,lakini kwa uwezo wa Mungu nimeifaulu.ila cha kushangaza wameniambia eti ndio recruitment team yao wanakaa kuangalia kama cv yangu inafaa or not,swali langu ni walinipa ile test ngumu vile ya nin ilihali hata cv yangu kumbe hawajaiangalia?

Kama kuna mwenye uzoefu na hawa alistair anipe mwanga wa recruitment process yao.


Screenshot_20211007-121148_Gmail.jpg
 
alistair ni kampuni kama ya logistics wana pesa nyingi ila nasikia mishahara ni kiduchu pia hzi email za aptitude test washatuma sana jamaa yangu kafanya test kama mara nne wapi kada moja ya logistics officer inatangwa kila baada ya miezi kadhaa sijui hawapati watu graduate kibao wametemana nao ni waduanzi kimtindo
 
Hiyo ni amptitude test , ukituma Cv tu baada ya week 2 mpaka 3 unatumiwa test uifanye.

Ukifeli nasikia wana ku delete kabisa kwenye system yao.
 
Nilishafanyaga test yao saa nane za usiku na majibu yakarudi nimefell wakati maswali nilikuwa na google na majibu napachika shwain sana hao
 
Back
Top Bottom