Kuna anayefahamu uhalali wa Job Junction?

Kuna anayefahamu uhalali wa Job Junction?

STILL BELIEVE

Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
9
Reaction score
4
Habari wana JamiiForums,

Kuna mtu anifahamu hio kampuni "JOB JUNCTION"? Niliona wametuma kazi nikaaply, kufika wananiambia wao ni recruitment agency kazi yao ni kuwaunganisha wanaotafuta kazi na waajiri then ukipata kazi unawapa 30% ya mshahara wa kwanza.

Cha kushangaza et wanasema kuna registration form unatakiwa ujaze ambayo gharama ni 30,000 hapo ndo nikaona matepeli, ila cha kushangaza wana ofisi wana TIN, Business Licence & Everything.

Wamenipigia simu jana niende leo kujaza form na 30,000 mkononi. Sijaenda.Nimekuja kwanza humu kupata muongozo kwenu ndugu zangu kuna mtu keshakutana nao? Are they LEGAL?
 
 
Habari wana JamiiForums,

Kuna mtu anifahamu hio kampuni "JOB JUNCTION"? Niliona wametuma kazi nikaaply, kufika wananiambia wao ni recruitment agency kazi yao ni kuwaunganisha wanaotafuta kazi na waajiri then ukipata kazi unawapa 30% ya mshahara wa kwanza.

Cha kushangaza et wanasema kuna registration form unatakiwa ujaze ambayo gharama ni 30,000 hapo ndo nikaona matepeli, ila cha kushangaza wana ofisi wana TIN, Business Licence & Everything.

Wamenipigia simu jana niende leo kujaza form na 30,000 mkononi. Sijaenda.Nimekuja kwanza humu kupata muongozo kwenu ndugu zangu kuna mtu keshakutana nao? Are they LEGAL?
Achana kabisa na hao jamaa, ni matapeli wa kutupwa.....kama huamini wapelekee hiyo 30k halafu uone kama watakupa ajira.
 
Habari wana JamiiForums,

Kuna mtu anifahamu hio kampuni "JOB JUNCTION"? Niliona wametuma kazi nikaaply, kufika wananiambia wao ni recruitment agency kazi yao ni kuwaunganisha wanaotafuta kazi na waajiri then ukipata kazi unawapa 30% ya mshahara wa kwanza.

Cha kushangaza et wanasema kuna registration form unatakiwa ujaze ambayo gharama ni 30,000 hapo ndo nikaona matepeli, ila cha kushangaza wana ofisi wana TIN, Business Licence & Everything.

Wamenipigia simu jana niende leo kujaza form na 30,000 mkononi. Sijaenda.Nimekuja kwanza humu kupata muongozo kwenu ndugu zangu kuna mtu keshakutana nao? Are they LEGAL?
Hao ni halali kabisa hawana shida
 
Upigaji Umeboreshwa Sasa Hivi
Unaweza Kukuta TIN Fake, Uliowaona Leo, Kesho Hawapo
 
Nimeona ofisi zao pale tanzanite Park, Victoria.
 
Back
Top Bottom