K KHMKHMKHM New Member Joined Jan 18, 2020 Posts 1 Reaction score 0 Jan 19, 2020 #1 Habari, Naulizia mtu anayejiandaa na mitihani ya CFA steji ya kwanza itakayofanyika mwezi wa sita, 2020. Nimuulize mambo mawili matatu. Vizuri akiwa Dar.
Habari, Naulizia mtu anayejiandaa na mitihani ya CFA steji ya kwanza itakayofanyika mwezi wa sita, 2020. Nimuulize mambo mawili matatu. Vizuri akiwa Dar.
L leontiff Member Joined Jan 14, 2016 Posts 95 Reaction score 95 Feb 16, 2020 #2 Kusoma CFA ni shilling ngapi?